Watu hawana kumbu kumbu tyuuh, alishawahi kuleta mada ya vile mwaka jana, ila kwa lugha ya bibi Elizabeth, ndo maan now kaleta kwa ID ingne, afu muandiko unamuumbua.
Watu tushamnyaka kitamboo. Hahahah mie janaa niliitaja "Co" akanambia nifute hahahahah