Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi kwani sisi tuliwatuma hao Geita washike mpira kama netiball?
Au walidhani mechi imekuwa ya netiboli eeh??au basketball

Halafu kwani ni sisi tumempa kengeza yule kaka akose penalt?
Kwanini amoengeshee kipa lakini?
nimecheka mnooo, aaah wapi wee Refa kawabeba tyuuuh, afu kujisafisha kampa coacher wenu kadi nyekundu, hahahah

Kule kwa penalt nawalaumu GGM hawakua serious, tangu kipa wenu alivyokosa. Ilibidi wampe mahadhi ile angefunga, wakampa kinda kid kawaangusha, zilizofuata n uharo tyuuu.
 
nimecheka mnooo, aaah wapi wee Refa kawabeba tyuuuh, afu kujisafisha kampa coacher wenu kadi nyekundu, hahahah

Kule kwa penalt nawalaumu GGM hawakua serious, tangu kipa wenu alivyokosa. Ilibidi wampe mahadhi ile angefunga, wakampa kinda kid kawaangusha, zilizofuata n uharo tyuuu.
City tumewahurumia tu
Halafu hivi mnajitambua kweli?
Mnatoa draw nyumbani
Wolves anawachapa ndio tunashinda hivyo
 
Back
Top Bottom