Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Wapi huko mbna sijaona babuuuh.? Acha uongo wako.Kasome handdome numerals kule zikikaa peke yake muda mrefu zitarejea kwao![]()
shos mambo Yako Sikuwezi!!! Umetokelezeaje shos ake!! Pendeza sanaaaaa





afu nna bonge la ubuyuuu, kila nkituma text kule chimbo zinagoma, sijui umefunga PM yako. Kuna sehem ktk uzi nmekutag na kukuambia kanichek kulee kimyaa, tangu jana asubuh yaan. Na humu pia sijakuona janaTayari hiyo vipiTayari shouzz ake.![]()







babuuu we snapchat ya nn? weee nakufungiaje shos angu nimekuchek kaangalie.... mbona sijaona hio tag lolafu nna bonge la ubuyuuu, kila nkituma text kule chimbo zinagoma, sijui umefunga PM yako. Kuna sehem ktk uzi nmekutag na kukuambia kanichek kulee kimyaa, tangu jana asubuh yaan. Na humu pia sijakuona jana
Fanya unichek kuleeee
RudiaVipi hiyo kwioooooo?![]()
Mmmmmh mbna sijaona jaman babuuuh.Imethibitishwa...shauri yako
Hivi kwani sisi tuliwatuma hao Geita washike mpira kama netiball?Saint Anne nakusalimu sana,
Hapa bongo leo shukuru refa kawabeba tena bila aibu. Umeingia ½ final huku uamini yaaan, ila GGM wameupiga mwingi mnoo had unamwagika, woiiiiiiiih
Na ujue tutakutan ktk ½ final, tutawanyoosha vilivyo haswaa., usisahau tar 30 pia kipigo kiko pale pale. Yaan mara 2 tutawafurahisha.
Haya turudi kulee kwetu pendwaa, leo umeona show ya kibabe eeeh?japo mmejifanya kuchomoa.
Afu usisahau UCL ½ final tutakutan tena, kuleee ndo tutawaua bila hurumaa.
popote ulipo habari uwe nayoooo.


Wee nae uwage unapitwaaa khaaaah.Ya picha wee vepee mjukuu![]()




