Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Snapchat-625462894.jpg
 
shos mambo Yako Sikuwezi!!! Umetokelezeaje shos ake !! Pendeza sanaaaaa
afu nna bonge la ubuyuuu, kila nkituma text kule chimbo zinagoma, sijui umefunga PM yako. Kuna sehem ktk uzi nmekutag na kukuambia kanichek kulee kimyaa, tangu jana asubuh yaan. Na humu pia sijakuona jana

Fanya unichek kuleeee
 
afu nna bonge la ubuyuuu, kila nkituma text kule chimbo zinagoma, sijui umefunga PM yako. Kuna sehem ktk uzi nmekutag na kukuambia kanichek kulee kimyaa, tangu jana asubuh yaan. Na humu pia sijakuona jana

Fanya unichek kuleeee
weee nakufungiaje shos angu nimekuchek kaangalie.... mbona sijaona hio tag lol
 
Saint Anne nakusalimu sana,

Hapa bongo leo shukuru refa kawabeba tena bila aibu. Umeingia ½ final huku uamini yaaan, ila GGM wameupiga mwingi mnoo had unamwagika, woiiiiiiiih

Na ujue tutakutan ktk ½ final, tutawanyoosha vilivyo haswaa. , usisahau tar 30 pia kipigo kiko pale pale. Yaan mara 2 tutawafurahisha.

Haya turudi kulee kwetu pendwaa, leo umeona show ya kibabe eeeh? japo mmejifanya kuchomoa.

Afu usisahau UCL ½ final tutakutan tena, kuleee ndo tutawaua bila hurumaa.

popote ulipo habari uwe nayoooo.
Hivi kwani sisi tuliwatuma hao Geita washike mpira kama netiball?
Au walidhani mechi imekuwa ya netiboli eeh??au basketball

Halafu kwani ni sisi tumempa kengeza yule kaka akose penalt?
Kwanini amoengeshee kipa lakini?




City tumewahurumia tu
Halafu hivi mnajitambua kweli?
Mnatoa draw nyumbani
Wolves anawachapa ndio tunashinda hivyo
 
Back
Top Bottom