Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Apr 8, 2022 #177,401 Tinsley said: Kweli zinapendeza balaaa Huwazi kusuka wala tena unaweza kukaa nazo hata miezi mitatu. Huo ndo ubaya wake huo .. nikija kunyoa tu ah naweka siwezi baki kipara . Click to expand... Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa. Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena
Tinsley said: Kweli zinapendeza balaaa Huwazi kusuka wala tena unaweza kukaa nazo hata miezi mitatu. Huo ndo ubaya wake huo .. nikija kunyoa tu ah naweka siwezi baki kipara . Click to expand... Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa. Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 8, 2022 #177,402 Tinsley said: Crotchet ya Rasta ipo kama hivi Strawbella View attachment 2180753 Click to expand... Nzuri
Tinsley said: Crotchet ya Rasta ipo kama hivi Strawbella View attachment 2180753 Click to expand... Nzuri
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,009 Reaction score 177,315 Apr 8, 2022 #177,403 Saint Anne said: Saluni kubwa kubwa watampiga hadi laki Click to expand... kabisa kama saluni aandae hata laki
Saint Anne said: Saluni kubwa kubwa watampiga hadi laki Click to expand... kabisa kama saluni aandae hata laki
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 8, 2022 #177,404 Tinsley said: Amen nawe pia mpendwa Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 8, 2022 #177,405 mahondaw said: kabisa kama saluni aandae hata laki Click to expand... Na anaweza asisukwe vizuri
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 8, 2022 #177,406 Lenie said: Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa. Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena View attachment 2180763 Click to expand... Blacka beauty Yaani nashukuruni mmeniokoa. Nilitaka nitie dawa kesho
Lenie said: Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa. Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena View attachment 2180763 Click to expand... Blacka beauty Yaani nashukuruni mmeniokoa. Nilitaka nitie dawa kesho
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 8, 2022 #177,407 mahondaw said: Si kila siku natuma picha humu!View attachment 2180769 Click to expand... Wacha wee Boss lediii wetu huyo Kakichwa kazuriiii Unajua kupose Tupia ingine tuone
mahondaw said: Si kila siku natuma picha humu!View attachment 2180769 Click to expand... Wacha wee Boss lediii wetu huyo Kakichwa kazuriiii Unajua kupose Tupia ingine tuone
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Apr 8, 2022 #177,408 Lenie said: Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa. Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena View attachment 2180763 Click to expand... Zilikupendeza kwa kweli Sio ukae kwenye kioo unachana style hii mara ile haikai ..kuchana tu nywele unatumia 30 minutes . Weka mwaya upendeze , relaxed hair huwa zinachosha muda mwingine .
Lenie said: Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa. Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena View attachment 2180763 Click to expand... Zilikupendeza kwa kweli Sio ukae kwenye kioo unachana style hii mara ile haikai ..kuchana tu nywele unatumia 30 minutes . Weka mwaya upendeze , relaxed hair huwa zinachosha muda mwingine .
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Apr 8, 2022 #177,409 Saint Anne said: Blacka beauty Yaani nashukuruni mmeniokoa. Nilitaka nitie dawa kesho Click to expand... Usiweke dawa, nywele yako nzuri. Weka curl utapendeza sana na zitakua laini kama umeweka dawa
Saint Anne said: Blacka beauty Yaani nashukuruni mmeniokoa. Nilitaka nitie dawa kesho Click to expand... Usiweke dawa, nywele yako nzuri. Weka curl utapendeza sana na zitakua laini kama umeweka dawa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 8, 2022 #177,410 Lenie said: Usiweke dawa, nywele yako nzuri. Weka curl utapendeza sana na zitakua laini kama umeweka dawa Click to expand... Asante Ntaweka. Kazi iliyobaki ni kutafuta saluni sasa yenye hizo huduma
Lenie said: Usiweke dawa, nywele yako nzuri. Weka curl utapendeza sana na zitakua laini kama umeweka dawa Click to expand... Asante Ntaweka. Kazi iliyobaki ni kutafuta saluni sasa yenye hizo huduma
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Apr 8, 2022 #177,411 Saint Anne said: Nzuri Click to expand... Yeah unapendeza ukisuka sema issue ipo kwenye kuzimaintain inabidi uwe na hair stylist akuchane la sivyo unafumua week tu .
Saint Anne said: Nzuri Click to expand... Yeah unapendeza ukisuka sema issue ipo kwenye kuzimaintain inabidi uwe na hair stylist akuchane la sivyo unafumua week tu .
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Apr 8, 2022 #177,412 Tinsley said: Zilikupendeza kwa kweli Sio ukae kwenye kioo unachana style hii mara ile haikai ..kuchana tu nywele unatumia 30 minutes . Weka mwaya upendeze , relaxed hair huwa zinachosha muda mwingine . Click to expand... Asante dear Hapo bado kila ukichana chanuo linatoka na nywele😂 Zinachosha, uzuri pia saiv kuna style nying za short hair za kisasa so hata ukinyoa bado utakua msupu tu
Tinsley said: Zilikupendeza kwa kweli Sio ukae kwenye kioo unachana style hii mara ile haikai ..kuchana tu nywele unatumia 30 minutes . Weka mwaya upendeze , relaxed hair huwa zinachosha muda mwingine . Click to expand... Asante dear Hapo bado kila ukichana chanuo linatoka na nywele😂 Zinachosha, uzuri pia saiv kuna style nying za short hair za kisasa so hata ukinyoa bado utakua msupu tu
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Apr 8, 2022 #177,413 Saint Anne said: Asante Ntaweka. Kazi iliyobaki ni kutafuta saluni sasa yenye hizo huduma Click to expand... Kuna saluni ipo karibu na Mabibo hostel wanafanya hizo mambo ngoja niichek nikiipata nakutumia
Saint Anne said: Asante Ntaweka. Kazi iliyobaki ni kutafuta saluni sasa yenye hizo huduma Click to expand... Kuna saluni ipo karibu na Mabibo hostel wanafanya hizo mambo ngoja niichek nikiipata nakutumia
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Apr 8, 2022 #177,414 Lenie said: Asante dear Hapo bado kila ukichana chanuo linatoka na nywele😂 Zinachosha, uzuri pia saiv kuna style nying za short hair za kisasa so hata ukinyoa bado utakua msupu tu Click to expand... 😁😁
Lenie said: Asante dear Hapo bado kila ukichana chanuo linatoka na nywele😂 Zinachosha, uzuri pia saiv kuna style nying za short hair za kisasa so hata ukinyoa bado utakua msupu tu Click to expand... 😁😁
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Apr 8, 2022 #177,415 Lenie said: Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa. Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena Click to expand... Abeee Yan hiyo nywele kuiwekea curly tena labda uikate other wise kitakukuta kitu hichoo
Lenie said: Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa. Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena Click to expand... Abeee Yan hiyo nywele kuiwekea curly tena labda uikate other wise kitakukuta kitu hichoo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 8, 2022 #177,416 Tinsley said: Yeah unapendeza ukisuka sema issue ipo kwenye kuzimaintain inabidi uwe na hair stylist akuchane la sivyo unafumua week tu . Click to expand... Na mimi misivyojua kuchana Lile weaving tu lilijiviringa Kufumua nilikuwa nakata kata tu
Tinsley said: Yeah unapendeza ukisuka sema issue ipo kwenye kuzimaintain inabidi uwe na hair stylist akuchane la sivyo unafumua week tu . Click to expand... Na mimi misivyojua kuchana Lile weaving tu lilijiviringa Kufumua nilikuwa nakata kata tu
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Apr 8, 2022 #177,417 Depal said: 😁😁 Click to expand... Za weekend?
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Apr 8, 2022 #177,418 Lenie said: Asante dear Hapo bado kila ukichana chanuo linatoka na nywele Zinachosha, uzuri pia saiv kuna style nying za short hair za kisasa so hata ukinyoa bado utakua msupu tu Click to expand... Kha mimi huwa nachelewa kisa kuamua tu niweke style gani leo Msupu tena balaa , unapendeza zako tu mwenyewe .
Lenie said: Asante dear Hapo bado kila ukichana chanuo linatoka na nywele Zinachosha, uzuri pia saiv kuna style nying za short hair za kisasa so hata ukinyoa bado utakua msupu tu Click to expand... Kha mimi huwa nachelewa kisa kuamua tu niweke style gani leo Msupu tena balaa , unapendeza zako tu mwenyewe .
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 8, 2022 #177,419 Lenie said: Kuna saluni ipo karibu na Mabibo hostel wanafanya hizo mambo ngoja niichek nikiipata nakutumia Click to expand... Asante
Lenie said: Kuna saluni ipo karibu na Mabibo hostel wanafanya hizo mambo ngoja niichek nikiipata nakutumia Click to expand... Asante
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Apr 8, 2022 #177,420 Lenie said: Za weekend? Click to expand... Kind down Sijielewi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣