Selfika na JF: Snap it. Show it


Ooh ni jambo jema unafanya
Mie zangu hazijawahi kuwa hivyo ila huwa nalazimisha weh siku ziende .. halafu wengine hatujazoea vilemba ndo mtihani kabisa .

Huko nikienda kusuka kwa wasusi wanalalamika kuwa nywele imeotea hii weka dawa ...naona nibaki nazo tu nyumbani .
 
Haziumi ukichana ? Na unatumia mafuta gani?
Mm huwa natumia mafuta ya Nazi tu
ya buku mbili somtym olive oil

Sema mafuta mazuri kwa nywele ni ya nyonyo wanaitaga Castrol lakn mazuri ni Yale kwenye maduka ya dawa za asili hayazidi elfu tatu yanakuwa yako pure unaweza changanya na olive oil ni the best kwa wenye nywele chache pia kukatika kwa nywele

Matumizi nitawaelekeza pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…