Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,546
- 235,319
Sasa huyo Pogba hapo juu anatafuta nini jamani?Eeh nlisahau bhana[emoji3526]View attachment 2179752
Zavara ni zaidi ya msaniii, ni mwanaharakati huyu mwamba. Huko BASATA hataendana nao kabisa......hawa watu kama waasisi wa hip hop tz.. hawa ndio wangeenda kukaa huko Basata πππ
Nilikuwa narap zamani aiseeππππTulia kwa Mungu haya mengine achana nayo!...hiyo ngoma "UTU" ni balaa[emoji4]
πππ amekunywa damu ya hip hop roho nyeupe hana hip hop ya matumbo njaaa... zamani vililuwa vipaji sasa hivi watu wana njaa zaoZavara ni zaidi ya msaniii, ni mwanaharakati huyu mwamba. Huko BASATA hataendana nao kabisa......
Kuna uzi wadau walikuwa wana wachamhua piaHuyu mwamba is something else, nishawahi fika kwake Iringa....
Ni mshkaji wangu anapenda kuingilia picha zangu[emoji2960]Sasa huyo Pogba hapo juu anatafuta nini jamani?
Mtoe huyo Pogba..ananitishaπNi mshkaji wangu anapenda kuingilia picha zangu[emoji2960]
Unarap we noma[emoji28]Nilikuwa narap zamani aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka zangu niliofuatana nao walikuwa wanaweka hizi ngoma acha kabisa[emoji119].
Nimetulia na za kuabudu sasa hivi..
Hizi nyingine mara moja moja siyo mbaya..km leo nilitumiwa huo wa Alikiba..Jamaa ni fundi sana aisee.
ππππUnarap we noma[emoji28]
Naam mtumishiNilikuwa narap zamani aiseeππππ
Kaka zangu niliofuatana nao walikuwa wanaweka hizi ngoma acha kabisaπ.
Nimetulia na za kuabudu sasa hivi..
Hizi nyingine mara moja moja siyo mbaya..km leo nilitumiwa huo wa Alikiba..Jamaa ni fundi sana aisee.
[emoji25]doh poleh wee, namtoa sasa hv usiogope tenaMtoe huyo Pogba..ananitisha[emoji19]
Mtoe[emoji25]doh poleh wee, namtoa sasa hv usiogope tena
Nimeona, nimeonaaaaa!Kuna uzi wadau walikuwa wana wachamhua pia
GWM & Kwanza Unit
Mwana-kondoo AmeshindaNaam mtumishi
Nimeona, nimeonaaaaa!
Hana mambo mengi jamaa, nyimbo zake angalau unaweza sikiliza wazazi wamekaa pembeniDini na hiphop na bongofleva kwa mbali ila za zamani zile[emoji23]
Leo nimesikiza wimbo wa alikiba
"Sijui nakupenda sana u know that "
Aisee jamaa ni fundi[emoji119]
kabisa[emoji1][emoji1][emoji1] amekunywa damu ya hip hop roho nyeupe hana hip hop ya matumbo njaaa... zamani vililuwa vipaji sasa hivi watu wana njaa zao
πππ Sasa hivi maisha yamebadirika sanaaaa mkuuSiku moja inabidi ufanye jambo tusikie[emoji847]
[emoji2095][emoji2095] sawaMtoe