Mimi naijua hiphop ya zamani tu mkuu
Siyo hizi za sasa za kina chemical.
Ninaowakubali ni wengi
Wa kwanza ndio huyo Prof J..
Kuna Albert Mangwea mzee wa Free style na kundi Lake lile la Chemba squad,
Mtaalam Fid Q,
Nako2Nako
Afande sele,
Geez Mabovu,
Langa,
Dataz na kaka yake squeezer
Jay Mo
GK