Selfika na JF: Snap it. Show it

Anaanzaga Dar express bana
Express anatoka Dar anafika Ars saa 9 ya dk za mwanzoni

Afu anafata Kidia na Tilisho, Dar express uwa anawaacha.
Natamani kubisha lakini nikubali tu, mimi niko karibu sana na njia ya Bagamoyo ambayo baadhi ya mabasi kutoka na kwenda kaskazini yanapita, sijawahi kuona gari inayomtangulia tilisho, labda njia ya chalinze ila ya msata na kataa.
 
Natamani kubisha lakini nikubali tu, mimi niko karibu sana na njia ya Bagamoyo ambayo baadhi ya mabasi kutoka na kwenda kaskazini yanapita, sijawahi kuona gari inayomtangulia tilisho, labda njia ya chalinze ila ya msata na kataa.
Dar Express anawatangulia kuingia Arusha
Nauza duka stend hapo Makao mapya
Labda humuonagi tu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…