Hivi viatu bwana sio vya kuviparamia vitakunyoosha. Zamani zamani kuna siku nilivaa hicho kiatu kirefu kweli nikazama kanisani wakat narudi nikasema nitembee tu nyumban sio mbali weee nilivua nilirudi peku sitasahau. Navipenda ila naviheshimu mno
nimecheka jmn
Eti mhimbili kitengo cha mifupa!
Pole
Mi sipendi viatu vya chini
Kwenye event yyt, church, navaa high heels!
Except kwenye mizunguko tu ya kawaida
Hivi viatu bwana sio vya kuviparamia vitakunyoosha. Zamani zamani kuna siku nilivaa hicho kiatu kirefu kweli nikazama kanisani wakat narudi nikasema nitembee tu nyumban sio mbali weee nilivua nilirudi peku sitasahau. Navipenda ila naviheshimu mno
Nina kawaida ya kubeba flat shoes siku ile sijui ikawaje sikubeba bwana,alaf kilichonipa jeuri kanisan na home sio mbali kiihivyo nikajua kiatu nitakimudu. Aisee nilijuta sitarudi
njian wakawa wananitania viatu virefu waachien kina Shakira
View attachment 2177866
Wale waliokuwa na mpango wa kuwachezea Wajukuu zangu, nawapa taarifa nipo Bomani kukamilisha umiliki wa mguu wa Kuku. Sitaki masihara Mwaka huu 🤪🤪🤪🤪🤪🤪