Amependeza Sana
Ila mm siku nikijaribu icho kiatu mtanikuta MUHIMBILI kitengo Cha mifupa
Ila mnapendeza Sana mkivaa aisee
We unaweza kuwa mshauri mzuri, yaani kama tungeonana, ungenipa madini sanaπ.Hapana wee mkojoze vizuri plus pesa mfungulie biashara miradi umemamiliza!! Labda kama ana matatizo ndio atahangaika huko nje!
Halafu pesa itamlemaza tu wee mfungulie biashara !
Khakhaakhaaaaaa!!!ππWe unaweza kuwa mshauri mzuri, yaani kama tungeonana, ungenipa madini sanaπ.
Huu ushauri unaingia sana.
Wewe kama mie ndugu!! high heels siwezagi kabisa!
Kweli kabisa tena kukaa nyumbani ndio kabisaaa! Bora umuweke bize na vijishughili hizo nyeg atazipata wapi na hekaheka hizo!!We unaweza kuwa mshauri mzuri, yaani kama tungeonana, ungenipa madini sanaπ.
Huu ushauri unaingia sana.
kabisa!tutulie tu ndugu yangu mwisho wetu viatu kama vya kipaimara full stop
Wewe kama mie ndugu!! high heels siwezagi kabisa!
HahhahaAmependeza Sana
Ila mm siku nikijaribu icho kiatu mtanikuta MUHIMBILI kitengo Cha mifupa
Ila mnapendeza Sana mkivaa aisee
Ndio vizuri sasa, tena hakuna kitu napenda kama kumnyandua mwanamke mwenye nyg, yaani vile vitabu 10 vyote vya namna ya kumkojoza na vile video za youtube hapo ndio mahali huwa vinakuwa applied.Kweli kabisa tena kukaa nyumbani ndio kabisaaa! Bora umuweke bize na vijishughili hizo nyeg atazipata wapi na hekaheka hizo!!
BambadiUnaanza na mid heels unapanda kidogo kidogo mpaka unafika 6inchesukivaa unapendeza sana na ka mwendo kanabadilika...
HataHahhaha
Yaani heels zina wenyewe otherwise utaita maji mma ..
Namaanisha Maisha ya sasa nyote mke na mume mkileta kipato itapendeza zaidi kuliko mmoja kukaa tu nyumbani!!!Ndio vizuri sasa, tena hakuna kitu napenda kama kumnyandua mwanamke mwenye nyg, yaani vile vitabu 10 vyote vya namna ya kumkojoza na vile video za youtube hapo ndio mahali huwa vinakuwa applied.
Ni ukweli mchungu.Namaanisha Maisha ya sasa nyote mke na mume mkileta kipato itapendeza zaidi kuliko mmoja kukaa tu nyumbani!!!
Hahahaaa.....! Hio Haileti heshima kabisa!!Ni ukweli mchungu.
Halafu sasa hivi si muda tutaanza kuwategemea mpo kasi sana na mnatumia fursa vilivyo.
Haki sawa,au hutaki haki sawa?Hahahaaa.....! Hio Haileti heshima kabisa!!
Kwakweli inabariki na kupendeza sana kuona mwanaume ni provider sasa mwanaume wewe ndio uwe wa kupewa doh!!! Inasikitisha na kudhraulisha sana!
Naombapo nione mshono wa kitenge???ππLeo ni siku ya wanyaki kuvaa vitenge vya Muwa.
Nkamu Simara Leo sijavua viatu, nikitoka nakwenda kujipongeza.
Saint Anne Depal endeleeni kukaa pekuView attachment 2177841
Pale mpo kikaoni badala ya kuchangia mada ni kujipiga picha
Nikinyanyuka jioni madam mkemia. You were missedNaombapo nione mshono wa kitenge???ππ
MoG, be blessed kwa kweli. Unailisha sana nafsi yangu ππHis Word gives birth to words in us, and He has given our DNA the ability to communicate with and respond to words that are on the God frequency. What do I mean by the God frequency? Itβs the God Symbiont Gene at work, and the key to activating it is closer to you than you think.
Heaven Sent