Midekoo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2015 Posts 47,774 Reaction score 256,812 Apr 5, 2022 #175,201 bonjov said: Nimemwomba Junia ufutio hapa futa na kufuta na wewe emoji haitoki....hata huto tu-kopa kopa wapiiiii..... Click to expand... ππππ Jamanii
bonjov said: Nimemwomba Junia ufutio hapa futa na kufuta na wewe emoji haitoki....hata huto tu-kopa kopa wapiiiii..... Click to expand... ππππ Jamanii
Iceberg9 JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 26,883 Reaction score 51,696 Apr 5, 2022 #175,202 9.8ms squared said: View attachment 2176349 Click to expand... Pilipili na chai naona na chapati kwa mbali au pilipili ndiyo mbadala wa iliki hiyo
9.8ms squared said: View attachment 2176349 Click to expand... Pilipili na chai naona na chapati kwa mbali au pilipili ndiyo mbadala wa iliki hiyo
Iceberg9 JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 26,883 Reaction score 51,696 Apr 5, 2022 #175,203 Mideko said: Kumekucha View attachment 2176248 Click to expand...
bonjov JF-Expert Member Joined Mar 16, 2015 Posts 1,406 Reaction score 3,105 Apr 5, 2022 #175,204 Mideko said: ππππ Jamanii Click to expand... Natia huruma...hapa junia analia ufutio wake eti "dadii dadii my rubbeeer, I hate you"πππ ....na Sura kuona holaaa
Mideko said: ππππ Jamanii Click to expand... Natia huruma...hapa junia analia ufutio wake eti "dadii dadii my rubbeeer, I hate you"πππ ....na Sura kuona holaaa
bonjov JF-Expert Member Joined Mar 16, 2015 Posts 1,406 Reaction score 3,105 Apr 5, 2022 #175,205 9.8ms squared said: hawa watoto ni shidaaa hapo sema hujasikia harufu ya marashi.. unaweza pagawaaa.. ππ Click to expand... Unaweza Sema "enka" inauma Leo hakuna kazi πππ ufaidi uwepo wa dera na ushungi matata plus jicho legevuππ
9.8ms squared said: hawa watoto ni shidaaa hapo sema hujasikia harufu ya marashi.. unaweza pagawaaa.. ππ Click to expand... Unaweza Sema "enka" inauma Leo hakuna kazi πππ ufaidi uwepo wa dera na ushungi matata plus jicho legevuππ
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 5, 2022 #175,206 bonjov said: Unaweza Sema "enka" inauma Leo hakuna kazi πππ ufaidi uwepo wa dera na ushungi matata plus jicho legevuππ Click to expand... ππππ umenikumbusha mbali sana.. hawa wanajua kujali wenyenyekevu kwa waume zao.. yaani dah acha kabisa wawe na maisha marefu
bonjov said: Unaweza Sema "enka" inauma Leo hakuna kazi πππ ufaidi uwepo wa dera na ushungi matata plus jicho legevuππ Click to expand... ππππ umenikumbusha mbali sana.. hawa wanajua kujali wenyenyekevu kwa waume zao.. yaani dah acha kabisa wawe na maisha marefu
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,994 Reaction score 48,498 Apr 5, 2022 #175,207 mahondaw said: Papati!! Click to expand... eeh chai na papati
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,994 Reaction score 48,498 Apr 5, 2022 #175,208 9.8ms squared said: alafu nyepesi kama karatasi unaweza kula kumi Click to expand... Yani ni shida chapati Kama kioo
9.8ms squared said: alafu nyepesi kama karatasi unaweza kula kumi Click to expand... Yani ni shida chapati Kama kioo
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 5, 2022 #175,209 Nash9 said: Pilipili na chai naona na chapati kwa mbali au pilipili ndiyo mbadala wa iliki hiyo Click to expand... πππ kulikuwa na supu ya malapu lapu
Nash9 said: Pilipili na chai naona na chapati kwa mbali au pilipili ndiyo mbadala wa iliki hiyo Click to expand... πππ kulikuwa na supu ya malapu lapu
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 5, 2022 #175,210 sophy27 said: Yani ni shida chapati Kama kioo Click to expand... unabugia hata 10 ππ
Iceberg9 JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 26,883 Reaction score 51,696 Apr 5, 2022 #175,211 9.8ms squared said: kulikuwa na supu ya malapu lapu Click to expand... Upo vizuri
spidernyoka JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 8,029 Reaction score 21,531 Apr 5, 2022 #175,212 9.8ms squared said: kulikuwa na supu ya malapu lapu Click to expand... Ya malapulapu buku 3 unasusiwa jungu Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
9.8ms squared said: kulikuwa na supu ya malapu lapu Click to expand... Ya malapulapu buku 3 unasusiwa jungu Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 5, 2022 #175,213 spidernyoka said: Ya malapulapu buku 3 unasusiwa jungu Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app Click to expand... ila ukikuta mtengenezaji fundi huwa mazuri.. uswazi huwa kuna raha yake bwanaa.. maisha cheap kabisa
spidernyoka said: Ya malapulapu buku 3 unasusiwa jungu Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app Click to expand... ila ukikuta mtengenezaji fundi huwa mazuri.. uswazi huwa kuna raha yake bwanaa.. maisha cheap kabisa
bonjov JF-Expert Member Joined Mar 16, 2015 Posts 1,406 Reaction score 3,105 Apr 5, 2022 #175,214 9.8ms squared said: ππππ umenikumbusha mbali sana.. hawa wanajua kujali wenyenyekevu kwa waume zao.. yaani dah acha kabisa wawe na maisha marefu Click to expand... Hakika nimegusa mjumbe mkuu wa wapenda ushungi na macho legevu πππ
9.8ms squared said: ππππ umenikumbusha mbali sana.. hawa wanajua kujali wenyenyekevu kwa waume zao.. yaani dah acha kabisa wawe na maisha marefu Click to expand... Hakika nimegusa mjumbe mkuu wa wapenda ushungi na macho legevu πππ
bonjov JF-Expert Member Joined Mar 16, 2015 Posts 1,406 Reaction score 3,105 Apr 5, 2022 #175,215 9.8ms squared said: unabugia hata 10 ππ Click to expand... Maajabu ni kwamba zinatoka balaaa....na zinaisha
9.8ms squared said: unabugia hata 10 ππ Click to expand... Maajabu ni kwamba zinatoka balaaa....na zinaisha
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 5, 2022 #175,216 bonjov said: Hakika nimegusa mjumbe mkuu wa wapenda ushungi na macho legevu πππ Click to expand... unataka maisha marefu, chukua binti wa kiislam alie lelewa kwenye maadili safi, hata akikufaniwa itabaki siri ya ndani hatokufanyia vurugu wanajua nafasi ya mwanaume na nini mwanaume anataka.. ukienda sekta ya mapishi ndio π₯π₯π₯
bonjov said: Hakika nimegusa mjumbe mkuu wa wapenda ushungi na macho legevu πππ Click to expand... unataka maisha marefu, chukua binti wa kiislam alie lelewa kwenye maadili safi, hata akikufaniwa itabaki siri ya ndani hatokufanyia vurugu wanajua nafasi ya mwanaume na nini mwanaume anataka.. ukienda sekta ya mapishi ndio π₯π₯π₯
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 5, 2022 #175,217 bonjov said: Maajabu ni kwamba zinatoka balaaa....na zinaisha Click to expand... na wataalamu wa uchumi, ukila hizi husikii njaa haraka
bonjov said: Maajabu ni kwamba zinatoka balaaa....na zinaisha Click to expand... na wataalamu wa uchumi, ukila hizi husikii njaa haraka
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,009 Reaction score 177,313 Apr 5, 2022 #175,218 Kimya sana wana selfika... Nawasalimu tu wapendwa βπΆπ½ββοΈπΆπ½ββοΈ
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Apr 5, 2022 #175,219 Shimba Ya Buyenze said: View attachment 2175610 Click to expand... Huyu ni mimi kabisa
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Apr 5, 2022 #175,220