Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 4, 2022 #174,841 Kelsea said: Mziki wao si unaujua lakini Click to expand... hawana lolote.. nyoka hujihami tu.. ukosee mahesabu ndio tafrani
Kelsea said: Mziki wao si unaujua lakini Click to expand... hawana lolote.. nyoka hujihami tu.. ukosee mahesabu ndio tafrani
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 4, 2022 #174,842 mtu chake said: uswazi ipi? Click to expand... chumbageni ππ
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,970 Reaction score 35,342 Apr 4, 2022 #174,843 9.8ms squared said: hawana lolote.. nyoka hujihami tu.. ukosee mahesabu ndio tafrani Click to expand... Sipatan nao kabisa, nikiona hata picha tu kama hapo juu nashtuka yaan
9.8ms squared said: hawana lolote.. nyoka hujihami tu.. ukosee mahesabu ndio tafrani Click to expand... Sipatan nao kabisa, nikiona hata picha tu kama hapo juu nashtuka yaan
Gallius JF-Expert Member Joined Aug 24, 2019 Posts 1,999 Reaction score 8,353 Apr 4, 2022 #174,844 Saint Anne said: Kusoma ndiyo Mtihani nitatafuta kituo. Kuna fimbo kwa private candidate? Click to expand... Hakuna Tena wewe nitakuwa special treatment na bonus ya transport allowance bure kabisaβ¦
Saint Anne said: Kusoma ndiyo Mtihani nitatafuta kituo. Kuna fimbo kwa private candidate? Click to expand... Hakuna Tena wewe nitakuwa special treatment na bonus ya transport allowance bure kabisaβ¦
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Apr 4, 2022 #174,845 mtu chake said: walimu kazi mnayo Click to expand... Mimi nadhani ningekuwa nishaumiza watoto wa watu
mtu chake said: walimu kazi mnayo Click to expand... Mimi nadhani ningekuwa nishaumiza watoto wa watu
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,457 Apr 4, 2022 #174,846 Kelsea said: Walimu wana kazi si mchezo Click to expand... dah.wana changamoto nyingi sana
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 4, 2022 #174,847 Kelsea said: Sipatan nao kabisa, nikiona hata picha tu kama hapo juu nashtuka yaan Click to expand... ππ Pole
Kelsea said: Sipatan nao kabisa, nikiona hata picha tu kama hapo juu nashtuka yaan Click to expand... ππ Pole
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,970 Reaction score 35,342 Apr 4, 2022 #174,848 Saint Anne said: Mimi nadhani ningekuwa nishaumiza watoto wa watu Click to expand... Anne, wewe kama mimi nina mkono mwepesi kubonda mtu. Ualimu haunifai kabisa nitapata tu kesi
Saint Anne said: Mimi nadhani ningekuwa nishaumiza watoto wa watu Click to expand... Anne, wewe kama mimi nina mkono mwepesi kubonda mtu. Ualimu haunifai kabisa nitapata tu kesi
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,457 Apr 4, 2022 #174,849 Saint Anne said: Mimi nadhani ningekuwa nishaumiza watoto wa watu Click to expand... mm kwa hasira na huu ujeuri wangu,ningefungwa .maana dah
Saint Anne said: Mimi nadhani ningekuwa nishaumiza watoto wa watu Click to expand... mm kwa hasira na huu ujeuri wangu,ningefungwa .maana dah
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Apr 4, 2022 #174,850 Gallius said: Hakuna Tena wewe nitakuwa special treatment na bonus ya transport allowance bure kabisa⦠Click to expand... Kama hakuna fimbo sawa Hakuna kitu nilikuwa naogopa shule kama fimbo,,nilijitahidi sana kuzikwepa.. Nikitandikwa basi ni makosa ya jumla jumla. Kwahiyo kila siku utanipa lift hadi mbezi?? Hadi hapa nina uhakika wa 'A' Wewe unafundisha somo gani mkuu?? Nataka somo unalofundisha nije nilisome upya aisee.
Gallius said: Hakuna Tena wewe nitakuwa special treatment na bonus ya transport allowance bure kabisa⦠Click to expand... Kama hakuna fimbo sawa Hakuna kitu nilikuwa naogopa shule kama fimbo,,nilijitahidi sana kuzikwepa.. Nikitandikwa basi ni makosa ya jumla jumla. Kwahiyo kila siku utanipa lift hadi mbezi?? Hadi hapa nina uhakika wa 'A' Wewe unafundisha somo gani mkuu?? Nataka somo unalofundisha nije nilisome upya aisee.
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,970 Reaction score 35,342 Apr 4, 2022 #174,851 9.8ms squared said: Pole Click to expand... Shukrani.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Apr 4, 2022 #174,852 Kelsea said: Anne, wewe kama mimi nina mkono mwepesi kubonda mtu. Ualimu haunifai kabisa nitapata tu kesi Click to expand... Kwanza ningekuwa nakaukiwa na sauti na kufoka. Jinsi nilivyo na hasira za karibu afu niwe mwalimutungeongea mengine. Mngesikia tu mwalimu na mwanafunzi wamezichapa.
Kelsea said: Anne, wewe kama mimi nina mkono mwepesi kubonda mtu. Ualimu haunifai kabisa nitapata tu kesi Click to expand... Kwanza ningekuwa nakaukiwa na sauti na kufoka. Jinsi nilivyo na hasira za karibu afu niwe mwalimutungeongea mengine. Mngesikia tu mwalimu na mwanafunzi wamezichapa.
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 4, 2022 #174,853 mtu chake said: dah.wana changamoto nyingi sana Click to expand... uzuri unajilipa posho tena kama hao wa form six.. π¬π¬π¬
mtu chake said: dah.wana changamoto nyingi sana Click to expand... uzuri unajilipa posho tena kama hao wa form six.. π¬π¬π¬
Kashaija72 JF-Expert Member Joined May 18, 2020 Posts 2,522 Reaction score 5,577 Apr 4, 2022 #174,854 9.8ms squared said: tuwashukuru kwa lipi nyie .. mbio za sakafuni Click to expand... Hizohizo zinakushinda wewe. Tulia uwakilishwe na waliokuzidi
9.8ms squared said: tuwashukuru kwa lipi nyie .. mbio za sakafuni Click to expand... Hizohizo zinakushinda wewe. Tulia uwakilishwe na waliokuzidi
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Apr 4, 2022 #174,855 Kashaija72 said: Hizohizo zinakushinda wewe. Tulia uwakilishwe na waliokuzidi Click to expand... hamna lolote kelele tu
Kashaija72 said: Hizohizo zinakushinda wewe. Tulia uwakilishwe na waliokuzidi Click to expand... hamna lolote kelele tu
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,970 Reaction score 35,342 Apr 4, 2022 #174,856 Saint Anne said: Kwanza ningekuwa nakaukiwa na sauti na kufoka. Jinsi nilivyo na hasira za karibu afu niwe mwalimutungeongea mengine. Mngesikia tu mwalimu na mwanafunzi wamezichapa. Click to expand... na kuna watoto wana maudhi utajikuta unapata kesi hivi hivi
Saint Anne said: Kwanza ningekuwa nakaukiwa na sauti na kufoka. Jinsi nilivyo na hasira za karibu afu niwe mwalimutungeongea mengine. Mngesikia tu mwalimu na mwanafunzi wamezichapa. Click to expand... na kuna watoto wana maudhi utajikuta unapata kesi hivi hivi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Apr 4, 2022 #174,857 mtu chake said: mm kwa hasira na huu ujeuri wangu,ningefungwa .maana dah Click to expand... Mimi najisemeaga tu ashukuriwe Mungu aliyeniumba mwanamke na nguvu sina. Ningekuwa wa kiume nadhani ningekuwa ndani saa hizi. Kuna watu wanakuja kukukera tu unawaza tu hawa ningekuwa na nguvu sipotezi muda kulalamika,ni kupiga tu.
mtu chake said: mm kwa hasira na huu ujeuri wangu,ningefungwa .maana dah Click to expand... Mimi najisemeaga tu ashukuriwe Mungu aliyeniumba mwanamke na nguvu sina. Ningekuwa wa kiume nadhani ningekuwa ndani saa hizi. Kuna watu wanakuja kukukera tu unawaza tu hawa ningekuwa na nguvu sipotezi muda kulalamika,ni kupiga tu.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Apr 4, 2022 #174,858 Kelsea said: na kuna watoto wana maudhi utajikuta unapata kesi hivi hivi Click to expand... Mimi hata wanangu nyumbani kuna namna nimewatengeneza wanaenda kwenye mstari ninaotaka. Wakitoka nje na hapo wameumia.
Kelsea said: na kuna watoto wana maudhi utajikuta unapata kesi hivi hivi Click to expand... Mimi hata wanangu nyumbani kuna namna nimewatengeneza wanaenda kwenye mstari ninaotaka. Wakitoka nje na hapo wameumia.
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,457 Apr 4, 2022 #174,859 9.8ms squared said: uzuri unajilipa posho tena kama hao wa form six.. π¬π¬π¬ Click to expand... cjaelewa
9.8ms squared said: uzuri unajilipa posho tena kama hao wa form six.. π¬π¬π¬ Click to expand... cjaelewa
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,970 Reaction score 35,342 Apr 4, 2022 #174,860 Saint Anne said: Mimi hata wanangu nyumbani kuna namna nimewatengeneza wanaenda kwenye mstari ninaotaka. Wakitoka nje na hapo wameumia. Click to expand... Na watoto wa siku hizi ni wajeuri yaan kama wanaambizana vile
Saint Anne said: Mimi hata wanangu nyumbani kuna namna nimewatengeneza wanaenda kwenye mstari ninaotaka. Wakitoka nje na hapo wameumia. Click to expand... Na watoto wa siku hizi ni wajeuri yaan kama wanaambizana vile