Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Bageshi unataka kupindua serikali? Nuzulati utambebea mbeleko gani? Au kwa vile kafunga mwezi mtukufu ndo unachukulia poa?Hahahaa sawa, tafrahi hope ni tamuuu![]()



Bageshi unataka kupindua serikali? Nuzulati utambebea mbeleko gani? Au kwa vile kafunga mwezi mtukufu ndo unachukulia poa?Hahahaa sawa, tafrahi hope ni tamuuu![]()



Kweli nkamu tunaomba urudie wengi tumepitwa jamaniNkamu Nkamu nitaweka usiku![]()


Tuma location nilete mwenyewe 😉Hii fanya namna aseee 😋😋😋.. maana mandalizi ni 🔥🔥🔥
Umenichekesha nkamuKweli asee daah yaani humu kuna watu picha zao zikinipita huwa naumia basi tu najikazaga![]()
Basi niletee ya kutosha hiyo😋traamu sanaaa unaweza jiuma mdomo 😋😋😋
hiyo nzuri kulia huku huku kuna vibe sio ya kubeba😊😊Basi niletee ya kutosha hiyo😋
😂😂😂😂😂Bageshi unataka kupindua serikali? Nuzulati utambebea mbeleko gani? Au kwa vile kafunga mwezi mtukufu ndo unachukulia poa?![]()
Nitaipasha jamanihiyo nzuri kulia huku huku kuna vibe sio ya kubeba😊😊
Tuma location nilete mwenyewe 😉
😁😁😁😁 haya nitabebaNitaipasha jamani
Kweli nkamu tunaomba urudie wengi tumepitwa jamani![]()

😁😁 Nuzulati nimemuachia ubongo wangu, nafsi yangu na roho.. hana wasi wasi kabisa na mie.. ila nyama nzuri ya huku huku ingawa sio mbaya nitakubebea kwakua una kitu chako cha kipekee😂😂😂😂😂
Hapana bageshi siwezi mfanyia hivyo shost angu Nuzulati
Me shida yangu ni nyama tu, najua 9.8ms squared alivyokufa na kuoza kwa my wake😂
Kweli unajua kuwanyanyasa watuUsiku kwenye saa nne nne hivi Nkamu![]()

Good boy😁😁😁😁 haya nitabeba
Nakuelewa sana hapo mzee mwenzanguKabisa bro. Tusijisahau sana huku mijini mpaka tukirudishwa kwenye masanduku tunakwenda kutia aibu tu yaani
Hahahaa napenda venye uko proud na unampenda baby wako. Safi sanaa😁😁 Nuzulati nimemuachia ubongo wangu, nafsi yangu na roho.. hana wasi wasi kabisa na mie.. ila nyama nzuri ya huku huku ingawa sio mbaya nitakubebea kwakua una kitu chako cha kipekee