Kufunga ni kutoa, unaweza amua sehemu ya budget yako ya kula ukaitoa nayo ni funga pia, unaweza ukaamua usile aina fulani ya chakula nayo ni funga.. unafunga vitu ambavyo vina addiction.. mwingine anaweza funga TV.. but ukiweza funga kula it means unaweza kuji control na kuweza ku control mengine