Selfika na JF: Snap it. Show it

aah! RC wa kisasa wewe.. mie mbona bi mdashi kafunga.. huwa hasimami hata siku moja aisee... πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ usije kuwa unafunga ki michongo asee
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ amna jaman

Ila hiyo ipo kwenye sheria za kanisa na ndio maana j2 hazihesabiwi katika zile siku 40.
Ila mtu anaweza funga kwa maombi yake binafsi, nadhan inaruhusiwa

So leo ni kula kujigalagazaaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yes muhimu kutenda yaliyo mema, kusali na kutoa sadaka + kusaidia wahitaji.
Msosi ni kama njia ya kujinyima tu
Kufunga ni kutoa, unaweza amua sehemu ya budget yako ya kula ukaitoa nayo ni funga pia, unaweza ukaamua usile aina fulani ya chakula nayo ni funga.. unafunga vitu ambavyo vina addiction.. mwingine anaweza funga TV.. but ukiweza funga kula it means unaweza kuji control na kuweza ku control mengine
 
ExactlyπŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…