Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Nimeachwaaa shemeji 😒Asante Sana shemeji![]()
Nimeachwaaa shemeji 😒Asante Sana shemeji![]()
😀😀😀😀 huamini tu.. au nikuoneshe vichanga vyangu
Ngoja kwanza aoeBaba Joy anongeze wafike 5 joy na jayden na ndugu zao
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app


Nani kakuacha Nuzulati uhai wangu..Nimeachwaaa shemeji 😒
Tuko navijana kibao kwa sasa, tunaendelea kuwapika na tumekuwa wasimamizi washauri japo umri wetu bado mdogo ila uzoefu tunao kidogo.Na ujuzi wako kichwani.. inabidi uhamishie kwa juniors
Asante Sana heavensentHappiest birthday baba Joy. Uzidi kufanikiwa na kubarikiwa

weeee... nani kakuongopea 😀😀😀 unataka vitaSi useme ukweli kwamba umeniacha jamii ijue kwamba jimbo liko wazi😬😂
Najua shem hata sababu aijulikani nimeachwa bila sababu☹️Heeeenini Tena shida
Mwakani tuanze zoezi basi nataka wapili mieBaba Joy anongeze wafike 5 joy na jayden na ndugu zao
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Lazma kuna sababu Ngoja nifuatilie shida ipo wapiNajua shem hata sababu aijulikani nimeachwa bila sababu![]()
We jamaa kwanini umemuacha@nazulathuamini tu.. au nikuoneshe vichanga vyangu
Nuzulati mpenzi mambo ya chumbani haya.. hakuna kuachana..Najua shem hata sababu aijulikani nimeachwa bila sababu☹️
Ananijaribu.. alafu hajui kuwa sijaribiwi 😎😎We jamaa kwanini umemuacha@nazulat
Naamini ila sio Putinhuamini tu.. au nikuoneshe vichanga vyangu
Putin kwani lina shida gani reymage 😁😁😁
Amekujaribu nini mzeeAnanijaribu.. alafu hajui kuwa sijaribiwi![]()