Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Position ya Transformer iko wapi hapo ?
Position ya Transformer iko wapi hapo ?
Sijaona symbol ya TRF hapo. Au macho yangu mabovu nini ?Mboma inaonekana kabisa mkuu ipo wazii hapo 😀😀😀
Sawa Engineer 😀😀Nimeona.
Pamoja comrade...Umenikumbusha zamani sana.
Tuko pamoja.
Na mie naitwa Baba Putin.. 😎😎Happiest birthday baba Joy. Uzidi kufanikiwa na kubarikiwa
KwendraaaaaaaaaaaNa mie naitwa Baba Putin.. 😎😎
Tokaaa zakooo sikupendi kwanzaaa 😀😀😀Kwendraaaaaaaaaaa
Nayakumbuka.Kisai mambo haya unayakumbukaView attachment 2170584
safi sana comrade..Nayakumbuka.
Huu nakumbuka ulikuwa mradi wa "Low cost design"
Tunazeeka sasa.safi sana comrade..
Thanks my big Father..wabeja SanaHangamaga! - Ishi maisha marefu kwa kadri inavyowezekana!
Na uendelee kubarikiwa sana zaidi na zaidi mpaka siku moja uwe sawa na akina Mo na zaidi. All the best young bro![]()
Sasa si dogo kwangu wewe hapo amkia tuNikusalimie unataka kuninyima nini![]()
Ndio mzee wangu heshima kwakoNakuzidi miaka 42 duh!![]()
Na mie naitwa Baba Putin..![]()




ila we ni kichomi sanaBaba Joy anongeze wafike 5 joy na jayden na ndugu zaoHappiest birthday baba Joy. Uzidi kufanikiwa na kubarikiwa
Asante Sana shemejiHappy birthday to you FortnoxUwe na heri nyingi Mpendwa na kibarikiwe kila utakachokigusa.

Na ujuzi wako kichwani.. inabidi uhamishie kwa juniorsTunazeeka sasa.