Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna wanawake wanapinga hili inapelekea familia kila mtu Ni msemaji
Waso na Na dini na wasiokua na imani na Mungu ila sisi tuliolelewa ktk dini tunaambiwa hvyo kwa mujibu wa imani yangu mwanaume ni kiongozi wa mwanamke na sinaga ujasiri wa kupingaga maandiko aseehh!!!


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna wanawake wanapinga hili inapelekea familia kila mtu Ni msemaji
Na wapingaji up siwezi walaumu sana maana masuala ya ndoa au mahusiano ni very sensitive issues ,kama mwanaume ukiwa marioo ,dependent kwa mkeo!majukumu ya kifamilia kabeba mama kila kitu,mwishowe watu hukosa kujiamini ndo vurugu zinaaza hapo ,baba kambale,mama kambale na mtoto kambale.

Mwanaume akitambua nafasi yake maisha yanakua murua kabisaa!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
20220331_184043.jpg
 
Back
Top Bottom