Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Mar 30, 2022 #172,321 9.8ms squared said: πππ alafu wananishanga waingie na duche kwenye exam.. moto ni moto Lenie .. Click to expand... Aiseee moto wake ni mkali balaa, niliushuhudia siku moja aah fire wangechelewa kidogo tu wangekuta majivu mbona. Bahati nzuri mvua ikanyesha ghafla ndio ilikua pona yao.
9.8ms squared said: πππ alafu wananishanga waingie na duche kwenye exam.. moto ni moto Lenie .. Click to expand... Aiseee moto wake ni mkali balaa, niliushuhudia siku moja aah fire wangechelewa kidogo tu wangekuta majivu mbona. Bahati nzuri mvua ikanyesha ghafla ndio ilikua pona yao.
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,322 Depal said: Utu uzima dawa Click to expand... tuma basi ya color.. ya kimini ππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Mar 30, 2022 #172,323 Depal said: Tulia hebu π Kula ya jana View attachment 2169481 Click to expand... Ngozi ya mtumeπ Hiyo min hainitoshi? Nisendie kwa BM chap tasavali, nimeielewa
Depal said: Tulia hebu π Kula ya jana View attachment 2169481 Click to expand... Ngozi ya mtumeπ Hiyo min hainitoshi? Nisendie kwa BM chap tasavali, nimeielewa
Simara JF-Expert Member Joined Oct 1, 2014 Posts 7,561 Reaction score 23,991 Mar 30, 2022 #172,324 9.8ms squared said: .. mmh! hapo mnashibaje asa Click to expand... Tumeshiba na tulitaka kuacha sema sio vizuri kutupa chakula
9.8ms squared said: .. mmh! hapo mnashibaje asa Click to expand... Tumeshiba na tulitaka kuacha sema sio vizuri kutupa chakula
Simara JF-Expert Member Joined Oct 1, 2014 Posts 7,561 Reaction score 23,991 Mar 30, 2022 #172,325 9.8ms squared said: Nenepa tu mkuu.. nyama nyama muhimu.. .. Click to expand... unanichuuza sio
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Mar 30, 2022 #172,326 Lenie said: Ngozi ya mtumeπ Hiyo min hainitoshi? Nisendie kwa BM chap tasavali, nimeielewa Click to expand... Sentensi ya kwanza Hujakoma tu dada!??? Na evidence zote zile π€£π€£π€£ Ile hips yako hapa haipiti shost
Lenie said: Ngozi ya mtumeπ Hiyo min hainitoshi? Nisendie kwa BM chap tasavali, nimeielewa Click to expand... Sentensi ya kwanza Hujakoma tu dada!??? Na evidence zote zile π€£π€£π€£ Ile hips yako hapa haipiti shost
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,327 Lenie said: Aiseee moto wake ni mkali balaa, niliushuhudia siku moja aah fire wangechelewa kidogo tu wangekuta majivu mbona. Bahati nzuri mvua ikanyesha ghafla ndio ilikua pona yao. Click to expand... ππππ naelewa naelewa.. mvua ya bila mawingu hiyoo mala nyingi simba huwa anakuwa anafanya yake
Lenie said: Aiseee moto wake ni mkali balaa, niliushuhudia siku moja aah fire wangechelewa kidogo tu wangekuta majivu mbona. Bahati nzuri mvua ikanyesha ghafla ndio ilikua pona yao. Click to expand... ππππ naelewa naelewa.. mvua ya bila mawingu hiyoo mala nyingi simba huwa anakuwa anafanya yake
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,328 Simara said: unanichuuza sio Click to expand... Aaah.. mimi huyuu βΊοΈβΊοΈ
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,329 Simara said: Tumeshiba na tulitaka kuacha sema sio vizuri kutupa chakula Click to expand... Mkibakiza siku ingine nishtue.. chakula cha kuachiwa kinakuwaga kidogo kwasababu kinakuwa hakitoshi βΊοΈβΊοΈβΊοΈ sema tu msiwe mmekipa mate mate
Simara said: Tumeshiba na tulitaka kuacha sema sio vizuri kutupa chakula Click to expand... Mkibakiza siku ingine nishtue.. chakula cha kuachiwa kinakuwaga kidogo kwasababu kinakuwa hakitoshi βΊοΈβΊοΈβΊοΈ sema tu msiwe mmekipa mate mate
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Mar 30, 2022 #172,330 Depal said: Sentensi ya kwanza Hujakoma tu dada!??? Na evidence zote zile π€£π€£π€£ Ile hips yako hapa haipiti shost Click to expand... Hips nitaibana na 'solotep' itatoshea tu
Depal said: Sentensi ya kwanza Hujakoma tu dada!??? Na evidence zote zile π€£π€£π€£ Ile hips yako hapa haipiti shost Click to expand... Hips nitaibana na 'solotep' itatoshea tu
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Mar 30, 2022 #172,331 9.8ms squared said: ππππ naelewa naelewa.. mvua ya bila mawingu hiyoo mala nyingi simba huwa anakuwa anafanya yake Click to expand... Wanasemaga eti simba anazaa, hivi ni kweli? Me naskiaga story tu za vijiweni, maana vijana nao hawako nyuma kwenye mambo ya uzushi
9.8ms squared said: ππππ naelewa naelewa.. mvua ya bila mawingu hiyoo mala nyingi simba huwa anakuwa anafanya yake Click to expand... Wanasemaga eti simba anazaa, hivi ni kweli? Me naskiaga story tu za vijiweni, maana vijana nao hawako nyuma kwenye mambo ya uzushi
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,332 Lenie said: Wanasemaga eti simba anazaa, hivi ni kweli? Me naskiaga story tu za vijiweni, maana vijana nao hawako nyuma kwenye mambo ya uzushi Click to expand... πππ hiyo itakuwa ilitokeaga kwaiyo waka ipasisha pie 3.14.. ila safi sana mvua za hivyo za kushtukiza lazima hata inayo kushukia unashtuka
Lenie said: Wanasemaga eti simba anazaa, hivi ni kweli? Me naskiaga story tu za vijiweni, maana vijana nao hawako nyuma kwenye mambo ya uzushi Click to expand... πππ hiyo itakuwa ilitokeaga kwaiyo waka ipasisha pie 3.14.. ila safi sana mvua za hivyo za kushtukiza lazima hata inayo kushukia unashtuka
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Mar 30, 2022 #172,333 Natamabua uwepo wako babu mzuri Grahams
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,334 Mjep said: Ananikanda huku mabegani Ananishika na hapa.......πΌπΌ.... π΅π΅π΅..... Click to expand... mkuu hii dedication kwa nani asee π
Mjep said: Ananikanda huku mabegani Ananishika na hapa.......πΌπΌ.... π΅π΅π΅..... Click to expand... mkuu hii dedication kwa nani asee π
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Mar 30, 2022 #172,335 9.8ms squared said: πππ hiyo itakuwa ilitokeaga kwaiyo waka ipasisha pie 3.14.. ila safi sana mvua za hivyo za kushtukiza lazima hata inayo kushukia unashtuka Click to expand... Kushtuka lazima, kwanza unajua sikuamini kilichotokea? Kila nikikumbuka ila siku natafakari mengi sana, naona bado jamii inanihitaji.
9.8ms squared said: πππ hiyo itakuwa ilitokeaga kwaiyo waka ipasisha pie 3.14.. ila safi sana mvua za hivyo za kushtukiza lazima hata inayo kushukia unashtuka Click to expand... Kushtuka lazima, kwanza unajua sikuamini kilichotokea? Kila nikikumbuka ila siku natafakari mengi sana, naona bado jamii inanihitaji.
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,336 Lenie said: Kushtuka lazima, kwanza unajua sikuamini kilichotokea? Kila nikikumbuka ila siku natafakari mengi sana, naona bado jamii inanihitaji. Click to expand... Unahitajika sana sana.. jamii bila wewe kuna upungufu.. mkubwa kuna kutokwa chozi la damu.. sema dah! acha nifunge kinywaa ππ
Lenie said: Kushtuka lazima, kwanza unajua sikuamini kilichotokea? Kila nikikumbuka ila siku natafakari mengi sana, naona bado jamii inanihitaji. Click to expand... Unahitajika sana sana.. jamii bila wewe kuna upungufu.. mkubwa kuna kutokwa chozi la damu.. sema dah! acha nifunge kinywaa ππ
Simara JF-Expert Member Joined Oct 1, 2014 Posts 7,561 Reaction score 23,991 Mar 30, 2022 #172,337 9.8ms squared said: Aaah.. mimi huyuu Click to expand... eeeeh mtu ukinenepa kitambi hakichezi mbaliiii
9.8ms squared said: Aaah.. mimi huyuu Click to expand... eeeeh mtu ukinenepa kitambi hakichezi mbaliiii
Simara JF-Expert Member Joined Oct 1, 2014 Posts 7,561 Reaction score 23,991 Mar 30, 2022 #172,338 9.8ms squared said: Mkibakiza siku ingine nishtue.. chakula cha kuachiwa kinakuwaga kidogo kwasababu kinakuwa hakitoshi sema tu msiwe mmekipa mate mate Click to expand... ha ha ha hatuwezi kukipaka mate kwanza tunakula kistaarabuu
9.8ms squared said: Mkibakiza siku ingine nishtue.. chakula cha kuachiwa kinakuwaga kidogo kwasababu kinakuwa hakitoshi sema tu msiwe mmekipa mate mate Click to expand... ha ha ha hatuwezi kukipaka mate kwanza tunakula kistaarabuu
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,170 Mar 30, 2022 #172,339 9.8ms squared said: Unahitajika sana sana.. jamii bila wewe kuna upungufu.. mkubwa kuna kutokwa chozi la damu.. sema dah! acha nifunge kinywaa ππ Click to expand... Eeh acha tu usiseme mengi, naelewa unayopitia kama kijana tuna changamoto nyingi. Me naomba nikutie tu moyo, tutayavuka haya ni swala tu la muda.
9.8ms squared said: Unahitajika sana sana.. jamii bila wewe kuna upungufu.. mkubwa kuna kutokwa chozi la damu.. sema dah! acha nifunge kinywaa ππ Click to expand... Eeh acha tu usiseme mengi, naelewa unayopitia kama kijana tuna changamoto nyingi. Me naomba nikutie tu moyo, tutayavuka haya ni swala tu la muda.
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,340 Simara said: eeeeh mtu ukinenepa kitambi hakichezi mbaliiii Click to expand... wemye vitambi wana tuzo yao maalumum. kuna raha yake kitambi.. mfundishe mr namna ya kukichezea hutojutia.. utaomba kiongezeke zaidi
Simara said: eeeeh mtu ukinenepa kitambi hakichezi mbaliiii Click to expand... wemye vitambi wana tuzo yao maalumum. kuna raha yake kitambi.. mfundishe mr namna ya kukichezea hutojutia.. utaomba kiongezeke zaidi