Selfika na JF: Snap it. Show it

Wengine tunataka ladha tofauti, usituzibie rizki mama!
Lakini kila mtu ana Uhuru wa kukomenti anavojisikia as long as havunji sheria wala kutukana mtu Japo najua kabisa Anne anatania tu nothing serious isikuumize kichwa!!
Halafu wasiwasi wako tu mkuu sie wanawake wenyewe walaaa hatuna Habari wala hio inferiority complex mbona tunaselfika zetu kwaraha zetu! Usituharibie uzi na kuleta uchochezi mkuu!

Binafsi naona kila anaepost humu huwa anasifiwa in one way or another... Watu kibao wanasifiwa wengine shingo wengine lips wengine miguu ya bia wengine shepu wengine ndevu nyingi zimekaa vizuri wengine rangi hata wanaume pia kibao tunawasifia na haifanyi wengine tushindwe kuselfika kisa hatujasifiwa hapana. Binafsi naona Amani tele imetamalaki mahala hapa sema wachache tu ndio mtauvuruga uzi!

#Freedomofexpression#
Muwe na mchana mwema!🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️
 
Ulikuwa utani tu kwa Anne, nothing serious...naona umenishushia novel😂😂😂
 


Sasa ndevu zimekujaje hapo

Nakutizama nasema

Mambo yako nakuachia mwenyewe
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…