Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha Uncle
Hii ni chitchat japo kuna kauhalisia hatuwezi tukakaficha wengine ..
kumbe napitaga mitaa yako hivyo na hujawahi kunishtua nije nikusalimie Uncle .
 
Aisee pole .. vimeanza ghafla tu ..
Je huwa unapaka kitu usoni ?
Vile vijipu vidogo
..panakuwa kama pana mafuta,panatengeneza kipele badaye kinakuwa kijipu ..nikikitoa kikiisha baada ya muda kinaanza sehemu nyingine.
Kwahiyo vinarotate tu.


Vile vishangazi vidark spots vilikuwaga vichache tu ila naona vinazidi.

Sipaki chochote zaidi ya mafuta yangu ya mgando Vaseline.
Baadaye nikawa natumia haya parachute..
 
Hizo kama ni chunusi, hazina dawa mkuu, wala usihangaike kikubwa kama ngozi yako ina mafuta tumia lotion maalumu za ngozi yako, halafu punguza kula misosi yenye mafuta.
 
Hizo kama ni chunusi, hazina dawa mkuu, wala usihangaike kikubwa kama ngozi yako ina mafuta tumia lotion maalumu za ngozi yako, halafu punguza kula misosi yenye mafuta.
Siyo chunusi
Vinakuwa vijipu.


Ngoja wataalamu waje kunielekeza mafuta yatakayoendana na ngozi yangu hasa mazingira ya joto Kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…