DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Send me your address[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisa yaani mie mwenyewe nilivamia ugomvi tu ila eti ndiyo nikajikuta nina hasira kuliko waliotukanwa hadi kaka wa watu kanung'unika haki inabidi niache huu utani wa kijinga humu JF kuna watu huwa wanamaindi kweli aise yaani mimi nikija kupata mume kauzu asiyependa matani sijui nitaishije nahisi nitakuwa nakula mabanzi kila siku
Hutaki akusifie na kile kizungu chake matata!? [emoji1787][emoji1787]
Pesa cash 100kHakika.
Ila dada Ni mrembo haswaa[emoji7][emoji7]
Ndio siku 3 leo...bado nahesabu
Yeah lakini hata hivyo mimi sikucomment sana maana kule juu kuna mtu ameniambia eti ana mashaka na jinsia yangu kwa sababu naomba sana picha za wanawake kuliko za wanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]binadamu hawana jema tukiomba za wanaume tu tunaambiwa tuna wivu na wanawake wenzetu tukiomba za wanawake tu tunatiliwa mashaka kwenye jinsia zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah nimecheka leo mimi jamani
Mtoto wa mzumbe unanitamanisha nikutafune
Halina ubishi hilo...mwisho wa mwaka huu nitaweka top 10 ya warembo hapa kwa uzi. Nakutakua na zawadi nono kwa top 3Pesa cash 100k
Pia zawadi kama
Savanna/heinken/windhoek/wine/whiskey
Proudly sponsored na wanaume wote kwenye huu uzi tukiongozwa na Mshana Jr
sawa.Nilitaka kuaminisha watu tu kuwa kuna wadada wazuri na wenye maisha na kazi nzuri pia humu JF [emoji5] na wala sio wachangiaji sana ila pesa na maisha yapo vizuri tu
Jamani hawezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana najua atakuja kunitukana tu aise
Hallelujah
Tabasamu lako tuu mie hoooiii...
#olewakoukuteumetumayawifiyako#
Mrembo wangu [emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]duuh
Hakika.Halina ubishi hilo...mwisho wa mwaka huu nitaweka top 10 ya warembo hapa kwa uzi. Nakutakua na zawadi nono kwa top 3Pesa cash 100k
Pia zawadi kama
Savanna/heinken/windhoek/wine/whiskey
Proudly sponsored na wanaume wote kwenye huu uzi tukiongozwa na Mshana Jr
Send me your address
Halina ubishi hilo...mwisho wa mwaka huu nitaweka top 10 ya warembo hapa kwa uzi. Nakutakua na zawadi nono kwa top 3Pesa cash 100k
Pia zawadi kama
Savanna/heinken/windhoek/wine/whiskey
Proudly sponsored na wanaume wote kwenye huu uzi tukiongozwa na Mshana Jr
Anakuchukulia poa eeh?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwanini udhani kuwa ni ya wifi yangu?? Ni yangu hiyo dada!!