Mnoo!I have male friends nimewapata humu hawajawahi hata kuonesha dalili za kutongoza hata siku moja na wengine ukiwakataa wanaelewa sana tu na heshima inabaki pale pale mnapeana michongo mingine tu!!
Kuna wale wanaamini mitandaoni ndo kuna mabinti wanapatikana kirahisi wkati sio kweli
Sent from my Infinix X559C using
JamiiForums mobile app