Selfika na JF: Snap it. Show it

They are stupid
Mnoo!I have male friends nimewapata humu hawajawahi hata kuonesha dalili za kutongoza hata siku moja na wengine ukiwakataa wanaelewa sana tu na heshima inabaki pale pale mnapeana michongo mingine tu!!
Kuna wale wanaamini mitandaoni ndo kuna mabinti wanapatikana kirahisi wkati sio kweli

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Pole
 
Kina kina sisi ambao ku-flirt ni sehemu ya nature yetu...basi mtu akija kizembe anajua usha catch feelings.
 
Nadhani Maxence Melo ungeongeza ktk list ya Emoj ukaweka na ile emoj ya kujilamba

ile ya mshangao (wow) ipishe kidogo ije hii emoj😋 maana kuna watu hawajali kbsa kuwa

kuna wengine tumetoka kula ugali na kabichi
Sasa mbona nautamani ugali kabichi wako CONTROLA ....ila iwe imechanganywa na nyama yenye mafuta kidogo.🤤🤤🤤
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…