Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Mar 25, 2022 #169,061 reymage said: !!!ulivojibu tuu Hujaona?!!whea wea yyuu? Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app Click to expand... I waz hiya hiyaaa Naona tu rangi ya mtume Naclick ooh ngoma isha disappear 😩
reymage said: !!!ulivojibu tuu Hujaona?!!whea wea yyuu? Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app Click to expand... I waz hiya hiyaaa Naona tu rangi ya mtume Naclick ooh ngoma isha disappear 😩
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Mar 25, 2022 #169,062 Shimba Ya Buyenze said: Leo hakuna mtoko classic!? Click to expand... Nalaza fuzu langu leo 🤗
bonjov JF-Expert Member Joined Mar 16, 2015 Posts 1,406 Reaction score 3,105 Mar 25, 2022 #169,063 Tz 11 😄😄 Good night everyone... Poleni na siku pia
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 25, 2022 #169,064 Depal said: Nawaka huku siwapati WAle wa sokoni siwaamini kihivyo Click to expand... Hao nahisi ni wa baharini, huku wapo kama wote fungu buku
Depal said: Nawaka huku siwapati WAle wa sokoni siwaamini kihivyo Click to expand... Hao nahisi ni wa baharini, huku wapo kama wote fungu buku
Usinifokee JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 2,503 Reaction score 3,514 Mar 25, 2022 #169,065
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Mar 25, 2022 #169,066 Lenie said: Hao nahisi ni wa baharini, huku wapo kama wote fungu buku Click to expand... Huko si ndio kwenyewe Kwanz huku nikiongea kuhusu dagaa mchele wananishangaa.. Wao wanajua uono/ dagaa wa zenji/ wa nyama
Lenie said: Hao nahisi ni wa baharini, huku wapo kama wote fungu buku Click to expand... Huko si ndio kwenyewe Kwanz huku nikiongea kuhusu dagaa mchele wananishangaa.. Wao wanajua uono/ dagaa wa zenji/ wa nyama
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Mar 25, 2022 #169,067 Depal said: Huko si ndio kwenyewe Kwanz huku nikiongea kuhusu dagaa mchele wananishangaa.. Wao wanajua uono/ dagaa wa zenji/ wa nyama Click to expand... Kwan dagaa mchele ndo wepi? Si ndo hawa wa mchanga? Au?
Depal said: Huko si ndio kwenyewe Kwanz huku nikiongea kuhusu dagaa mchele wananishangaa.. Wao wanajua uono/ dagaa wa zenji/ wa nyama Click to expand... Kwan dagaa mchele ndo wepi? Si ndo hawa wa mchanga? Au?
CAPTORHINOMORPHS JF-Expert Member Joined Sep 29, 2019 Posts 3,066 Reaction score 7,650 Mar 25, 2022 #169,068 cocastic said: Umetisha sana mate. Click to expand... Thank you lad
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 25, 2022 #169,069 Depal said: Huko si ndio kwenyewe Kwanz huku nikiongea kuhusu dagaa mchele wananishangaa.. Wao wanajua uono/ dagaa wa zenji/ wa nyama Click to expand... Hahaa itakua hawawajui Dagaa wa zenji nawapenda, wamenona
Depal said: Huko si ndio kwenyewe Kwanz huku nikiongea kuhusu dagaa mchele wananishangaa.. Wao wanajua uono/ dagaa wa zenji/ wa nyama Click to expand... Hahaa itakua hawawajui Dagaa wa zenji nawapenda, wamenona
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Mar 25, 2022 #169,070 cocastic said: Kwan dagaa mchele ndo wepi? Si ndo hawa wa mchanga? Au? Click to expand... Dagaa mchele ni wa baharini Wanataka kufanana na wale wanaoitwa dagaa nyama. Wa mchanga ni dagaa wa mwanza
cocastic said: Kwan dagaa mchele ndo wepi? Si ndo hawa wa mchanga? Au? Click to expand... Dagaa mchele ni wa baharini Wanataka kufanana na wale wanaoitwa dagaa nyama. Wa mchanga ni dagaa wa mwanza
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 25, 2022 #169,071 cocastic said: Kwan dagaa mchele ndo wepi? Si ndo hawa wa mchanga? Au? Click to expand... Hao aliotuma picha Depal
cocastic said: Kwan dagaa mchele ndo wepi? Si ndo hawa wa mchanga? Au? Click to expand... Hao aliotuma picha Depal
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Mar 25, 2022 #169,072 Lenie said: Hahaa itakua hawawajui Dagaa wa zenji nawapenda, wamenona Click to expand... Ndio mnaita dagaa nyama ? Hakuna cha dagaa nyama, dagaa ni dagaa
Lenie said: Hahaa itakua hawawajui Dagaa wa zenji nawapenda, wamenona Click to expand... Ndio mnaita dagaa nyama ? Hakuna cha dagaa nyama, dagaa ni dagaa
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 25, 2022 #169,073 Depal said: Dagaa mchele ni wa baharini Wanataka kufanana na wale wanaoitwa dagaa nyama. Wa mchanga ni dagaa wa mwanza Click to expand... Sikujua kama hawa wa Mwanza wanaitwa wa mchanga
Depal said: Dagaa mchele ni wa baharini Wanataka kufanana na wale wanaoitwa dagaa nyama. Wa mchanga ni dagaa wa mwanza Click to expand... Sikujua kama hawa wa Mwanza wanaitwa wa mchanga
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Mar 25, 2022 #169,074 Gregory 2000 said: Thank you lad Click to expand...
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Mar 25, 2022 #169,075 Lenie said: Sikujua kama hawa wa Mwanza wanaitwa wa mchanga Click to expand... Kwamba hujui uwa wanaanikwa chini 🙄
Lenie said: Sikujua kama hawa wa Mwanza wanaitwa wa mchanga Click to expand... Kwamba hujui uwa wanaanikwa chini 🙄
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Mar 25, 2022 #169,076 Lenie said: Sikujua kama hawa wa Mwanza wanaitwa wa mchanga Click to expand... Mwanza na kigoma ndo mchanga.
Lenie said: Sikujua kama hawa wa Mwanza wanaitwa wa mchanga Click to expand... Mwanza na kigoma ndo mchanga.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Mar 25, 2022 #169,077 Depal said: Dagaa mchele ni wa baharini Wanataka kufanana na wale wanaoitwa dagaa nyama. Wa mchanga ni dagaa wa mwanza Click to expand... Aaaah hapa sasa sawa mie najuaga dagaa mchele n hawa mchanga,ila dar ndo wameaamua kuita mchele. Dagaa nyama watamu bhana wee.
Depal said: Dagaa mchele ni wa baharini Wanataka kufanana na wale wanaoitwa dagaa nyama. Wa mchanga ni dagaa wa mwanza Click to expand... Aaaah hapa sasa sawa mie najuaga dagaa mchele n hawa mchanga,ila dar ndo wameaamua kuita mchele. Dagaa nyama watamu bhana wee.
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 25, 2022 #169,078 Depal said: Ndio mnaita dagaa nyama ? Hakuna cha dagaa nyama, dagaa ni dagaa Click to expand... Eeh ndip dagaa nyama😂😂 Bana wee wacha tujifariji, ila wanabei kidogo tofauti na wale dagaa wa kawaida
Depal said: Ndio mnaita dagaa nyama ? Hakuna cha dagaa nyama, dagaa ni dagaa Click to expand... Eeh ndip dagaa nyama😂😂 Bana wee wacha tujifariji, ila wanabei kidogo tofauti na wale dagaa wa kawaida
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Mar 25, 2022 #169,079 Lenie said: Hao aliotuma picha Depal Click to expand... Ndo nlijua hivyo.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Mar 25, 2022 #169,080 Lenie said: Eeh ndip dagaa nyama Bana wee wacha tujifariji, ila wanabei kidogo tofauti na wale dagaa wa kawaida Click to expand... kwan wa mchanga ni kichefu chefu, mie siwezi hata yaan
Lenie said: Eeh ndip dagaa nyama Bana wee wacha tujifariji, ila wanabei kidogo tofauti na wale dagaa wa kawaida Click to expand... kwan wa mchanga ni kichefu chefu, mie siwezi hata yaan