Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni laini hazifugiki hata, na ni panaa si kama hizo zako ziko shaped hivi, zangu kama tangawizi aki
jmn eti km tangawizi!
Hapana dear si una ule msasa? Uwe unatumia ule unazishap vile unavyotaka badala ya kuzikata!

Km laini sana huwa naona wanasema utumie hina ya majani kwa muda zinakua vzr!
Ila sijui km ni kweli, mi kucha zangu ni ngumu!
Lkn hina ile ya dukani au ya kuunguza sio nzuri inaharibu zinakuwa zinakatika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…