Ukitaka kuruka kwenye maji rukia, ila kama huwezi ile bembea uwa inaenda na kurudi.
Mkubwa hivo hujui kuogelea 🤣🤣 kuna kampani moja huko Matvilla beach ilinifanyaga nikapata ma confidence ya kuogelea ziwani ‘ ila yale maji ya ugoko.
Mwanza pia nilijitahidi kidogo kuogelea 7bu ya bei ya room 🤣🤣😅 unaachaje hela ipepeee