[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanataka pesa na matunzo.As long as wahusika wote ni watu wazima (18+) na wanadanganyana kwa hiari yao mpaka wanakutana na hatimaye kujuana kuwa mmoja wao kaoa/kaolewa; na wakaendelea na urafiki wao sioni tatizo. Kama ni dhambi watapambana na Mungu wao...Na mabinti wengine wala hawataki fyucha....ni migegedano tu kwa kwenda mbele na kula maisha ...
Na mitandaoni humu ni sandakarawe tu pata potea sawa na huko mitaani. Na kama tulivyoonywa sana na Mkwere kuwa humu "akili za kuambiwa ALWAYS changanya na zako".
Ila umetoa angalizo zuri Mama Mchungaji. Afadhali enzi zetu miaka ya 60 haya mambo ya mitandao hayakuwepo. Sasa ni vurugu tupu yaani. Poleni sana kwa kweli!
Juzi tu hapa jamaa yangu amegundua kuwa binti ambaye walikutana mtandaoni huko sijui twitter sijui wapi kumbe ni mke wa mtu na yeye keshampenda kabisa kabisa. Yaani mpaka anatia huruma kwa jinsi anavyohangaika...
Kweli mjukuu. Kila mtu na priorities zake. Ni vurugu mechi....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanataka pesa na matunzo.
Kuolewa na kuoa, sio shida zetu. Uwiiiiih
Dunia ya sahivi, upande m1 unataka sex na upande mwingne unataka pesa na matunzo. Ko tuishi humo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli mjukuu. Kila mtu na priorities zake. Ni vurugu mechi....
Chuo mnafungua lini?
Asante mjukuu...Dunia ya sahivi, upande m1 unataka sex na upande mwingne unataka pesa na matunzo. Ko tuishi humo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Next j3 babuuh.
Aisee tupo. Nimeingia nikaanza kusaka alama zako sikuona ndo nikaona nikuulizie. Pole na ubize mamake. I hope everything is fine...Bize kidogo msukuma.. Habari za uzima![emoji113]
Ukweli ndo huu. Na hakna namna lazima ieleweke tyuuh.Asante mjukuu...
Angalau wewe unajitambua
Yanii leo hapana shos niko najaribu kurudisha files zangu hapa naona holaaa..hadi nimechoka asee sioni hata possibility ya Kurudi! Nalala soon π΄π΄mahondaw wee shouzzzzzzzz, nakuona unapita kimyaa tyuuh.
Nambie km huselfiki nilale, maana siko poaa yaan. [emoji25][emoji25][emoji25]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo nimecheka hapa mnoo.Nilale saa saba usiku,kwani mie mwanaume?View attachment 2162212
Mwenyewe leo niko hovyooo tyuuh, nataka nilale now. [emoji25][emoji25][emoji25]Yanii leo hapana shos niko najaribu kurudisha files zangu hapa naona holaaa..hadi nimechoka asee sioni hata possibility ya Kurudi! Nalala soon [emoji42][emoji42]
Aisee tupo. Nimeingia nikaanza kusaka alama zako sikuona ndo nikaona nikuulizie. Pole na ubize mamake. I hope everything is fine...
Tutegemee kakitu baadaye au sababu ya ubize leo hakuna kitu?
Halafu umekwoti comment yangu wakati bado naipa assist hapo juu [emoji16][emoji16][emoji16]
Nikionaga hivi mna vivulana naona wivu balaa. I wish I could have a SYB Jr [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji112][emoji112][emoji817]View attachment 2162206
Nilale mwenzangu,bichwa lenyewe bovu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo nimecheka hapa mnoo.
Haya ulale unono. [emoji8][emoji8][emoji8]
Hata kamoja tu hakuna?Tatizo sina selfii mpya msukuma! leo sijapiga kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] twende kilioni yako iko vizuri,Nilale mwenzangu,bichwa lenyewe bovu
Naona watu wamevurugwa kule wanatoa stress hahahaaa.... Naomba nikalale tu shos see you tomorrow!Mwenyewe leo niko hovyooo tyuuh, nataka nilale now. [emoji25][emoji25][emoji25]