Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Niliweka mchana semaJana mbona sikuwepo ukitupia!
Niliweka mchana semaJana mbona sikuwepo ukitupia!
Nakupa jirani yakoTupunguzieni hizo komwe jamani![]()
🤣🤣🤣🤣Sema huyu dogo ana sauti nzuri sana aisee..
Mtu akikasikia,hataamini kama ndo kenyewe kanakokuwa katata.
Hahaha ila kikomwe kina raha yake hata usukwaje lazima utapendeza ..kichwa kikivutwa .Tupunguzieni hizo komwe jamani![]()
.Basi tik tok wanamwambiaga awe tu anavaa kofia
Ni mbingu na ardhi.![]()
Kuna muda nasomaga comments zake afu nazipeleka kwenye sauti yake
Yan hafananiii
Makomwe mazuriHahaha ila kikomwe kina raha yake hata usukwaje lazima utapendeza ..kichwa kikivutwa .
Mimi nasukwaga ovyo ila kikomwe kinanisave mno.

Huyu jamaa bwana






Kwahiyo unataka kusemaje?Sifa kubwa tapeli yoyote ipo kwa sauti na tone yake.. nakuibia siri hiyoo.. kaaa chonjo![]()
Mtatapeliwa nyie 😬😬
Suala la utapeli ndio huliwezi 🤣Sifa kubwa tapeli yoyote ipo kwa sauti na tone yake.. nakuibia siri hiyoo.. kaaa chonjo 🤕🤕
Head of departmentBasi tik tok wanamwambiaga awe tu anavaa kofia
Maana venye ako na head of department![]()






Mchana sikuwepo lakini, basi hata mara moja tu! Au mda wa kaisari huu?Niliweka mchana sema
Kumbe vyuo vimefungwa ehhapo ulipo unataman chuo kifunguliwe lol.
Ila lecturers bhana.
MashaaAllahMwanenu huyo sasa mtu amnange tuuaneView attachment 2161310View attachment 2161313
Sogeza sogeza kidogo camera best
Anafurahisha sana 🤣Ni mbingu na ardhi.
Unakuta upo nako hapohapo kanatype,kalichokitype ukisoma,,ukikaangalia usoni yaani unabaki unacheka.
Nishaifuta mpaka nianze kucrop tenaMchana sikuwepo lakini, basi hata mara moja tu! Au mda wa kaisari huu?
Pako hapo mmeisha tapeliwa tayari😎😎Kwahiyo unataka kusemaje?
Mbona kikomwe kuzuia 🤣🤣🤣Kweli zinatusave mno
Nilitaka kusuka style kama hii hapo msusi akaniambia haitowezekana kikomwe kinazuia View attachment 2161330