Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wapi hii mzee..? Umenikumbusha matukio mawili.. moja koboko hapa na hapa akaniachia ilikuwa polini.. nyingine ilikuwa dubwasha kama hili sema nilikuwa kwenye gari.. ilikuwa noma sanaaa
Dom mkuu. Sema hili dude bwana halinaga kwere kabisa. Likikumeza uzembe wako

Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom