reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,426
- 29,306
Hii kweli sijaikosaaa
Nilikosa ile ya mchana lkn hii nimeipata live alaf nimeisave kwa matumizi ya baadaye![]()




pipo mko active mana mmefuta fastaa!!nashangaa watu wameonaa!!!Hii kweli sijaikosaaa
Nilikosa ile ya mchana lkn hii nimeipata live alaf nimeisave kwa matumizi ya baadaye![]()




pipo mko active mana mmefuta fastaa!!nashangaa watu wameonaa!!!Hii nimeiwahiAnazo tena huwa namtania vishimoView attachment 2161005
Dom mkuu. Sema hili dude bwana halinaga kwere kabisa. Likikumeza uzembe wakoWapi hii mzee..? Umenikumbusha matukio mawili.. moja koboko hapa na hapa akaniachia ilikuwa polini.. nyingine ilikuwa dubwasha kama hili sema nilikuwa kwenye gari.. ilikuwa noma sanaaa
Kweli?!!!!Mdogo wangu tupia basi, ujuwe sijawahi hata kukuona!
Mie kwangu full raha yaan, sina stress maisha nimeyapataKaone kanacheka mda wote![]()



Sio mimi ni rafiki yangu kafanana na Depal nilidhani ni yeyeHii nimeiwahi
Mbona kipini sikioni madam?
Kweli kabisa!Kweli?!!!!
Utafaidi sana bro.. uzuri anapenda road trip.. inabidi uandae moja ndefu sanaaa mtoto mzuri afurahiMungu anipe nini 9.8ms squared
Nimeona mimi tuuu😅😅pipo mko active mana mmefuta fastaa!!nashangaa watu wameonaa!!!
Kumbe Hawa madogo wazuri tu wanajizeesha wenyewe kwa kuvaa Kama mamajusi


Sitaki kabisa kumuuza moyo tena...najituliza tuli kwa babe wangu Valentina
Ok sawa mkuuSio mimi ni rafiki yangu kafanana na Depal nilidhani ni yeye
Kumbe unafundisha mathe? Hapo watoto hawachengi yaan uwiiikumbe mmeonaa!!!
Wanaelewa na tunaelewana sana tu na madenti!!ni Mimi enzi Niko kibonge hapoo!!yaani Mimi mwaka juzi December to Jana mwanzoni nilifanya ya nguvu kupunguza mwili na mpk Leo haujarudi tena.
Nimeona mimi tuuu
Vocha umepata dogo?

we,SYB na Fort!😂😂😂😂 haya salamu zake Nuru.Sio mimi ni rafiki yangu kafanana na Depal nilidhani ni yeye
kwa nyumba za mamaa nini.. mkeka una sound kama kwake kule.. case za kubana wanadamu chache sana.. ni rahisi ku deal nayo hayaDom mkuu. Sema hili dude bwana halinaga kwere kabisa. Likikumeza uzembe wako
Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
Unajua sasa hivi hata sioni hizi picha![]()



lect usahihishe mitihani wee jaman, khaaah.Umeziwahi zote?we,SYB na Fort!
Ahsante best nilisahau kutoa shukrani hapa najazia buku nipate GB moko!!!
Maths best!yaani acha tu!!!Kumbe unafundisha mathe? Hapo watoto hawachengi yaan uwiii

wananipenda Mimi balaa!najua kudeal na akili zao vzr sana!kilaza silazimishi mwenye akili naenda nae na A tunapata