Ni kagari kazuri kwa kweli. Nilikanunua 0KM na nimeshakasukuma masafa ya kila aina. Hakina tatizo lo lote. Sema wameshaacha kuvitengeneza ningekula mchicha kwa miezi kadhaa ninunue kengine kapya nije nako kutanulia. Nadhani viko vichache huko. Unaimarisha tu suspension kidogo masafa ya kutoka Dar - Usukumani kinafika aisee. Nilishawahi kukasukuma kutoka Georgia - New York na kugeuza mpaka California - Utah na kurudi Georgia bila ishu yo yote...na kanatazamika...na kako juu kidogo...
πππ Fj ni heshima tu, huku zipo chache kwa miezi kadhaa unaweza kuziona mbili au tatu chache sanaaa.. gari ikisha achwa kuzalishwa changamoto.. mmbadala wake mzuri naona Jeep Wrangler.. hiyo kwa safari za dar usukumani ni mnuso.. na safari ya ukanda huo tamu sana kuanzia nzegaaa
ππππ.. nakulaga vichwa vya wasouo tu.. na dalai pale kabla chombo haijafika nampa maelekezo.. sibebi bei watu.. abiria wangu wanakula saba bataaa yaani.. ππππ..
Fj ni heshima tu, huku zipo chache kwa miezi kadhaa unaweza kuziona mbili au tatu chache sanaaa.. gari ikisha achwa kuzalishwa changamoto.. mmbadala wake mzuri naona Jeep Wrangler.. hiyo kwa safari za dar usukumani ni mnuso.. na safari ya ukanda huo tamu sana kuanzia nzengaaa