Yaani acha tu mkuu nakumbuka tukiwa uni kuna watu walikuwa wanacheza class yaani lec anapiga pindi huku mtu yuko busy anayumba kama teja basi watu wakimstukia wanaanza kumcheka hadi lec anageuka anadhani mnamcheka yeye basi anamind kinoma
Hata hili ni gumu hatari tena kwa ninavyoona hilo unalicheza ndio rahisi zaidi. Yaani vipe unavyomyumbisha nawe unayumba kabisa... Apo Ukosiriaz hutak mtu akuguse wala kukuongelesha
Yaani acha tu mkuu nakumbuka tukiwa uni kuna watu walikuwa wanacheza class yaani lec anapiga pindi huku mtu yuko busy anayumba kama teja basi watu wakimstukia wanaanza kumcheka hadi lec anageuka anadhani mnamcheka yeye basi anamind kinoma