Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu unaonaje ukanitumia hiyo m20 nikasuke

Oohh kumbe umemfuatilia nilitaka niweke na dau kabisa kuwa ukipata nakupa hela aisee sijui ningekuwa mgeni wa nani
Ungeaibika maana mm ni mdau mzuri wa muvi.. kama nimependa muvi basi namfuatilia mpaka director..script writter..producer hadi stunts....
Btw kadada kazuri mno.
Can't afford kwa sasa kukutumia
 
Mkuu unaonaje ukanitumia hiyo m20 nikasuke

Oohh kumbe umemfuatilia nilitaka niweke na dau kabisa kuwa ukipata nakupa hela aisee sijui ningekuwa mgeni wa nani
Ungeaibika maana mm ni mdau mzuri wa muvi.. kama nimependa muvi basi namfuatilia mpaka director..script writter..producer hadi stunts....
Btw kadada kazuri mno.
Can't afford kwa sasa kukutumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…