cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Sio kweli mkuuPole mkuu!
Sina Shep mie,hata usihangaike kuyaka kuona![]()
Hiyo kauli huwa inanifanya nidai hata venye sikuahidiwa.Jambo gani Hebu liweke hapa tumalize leo sitakagi madeni mie!
Sio kweli mkuu
Kwenye ile picha ya gangilonga kuna kitu kilikua kinajitokeza ukakizuia na nguo ya kanisani


duh nimecheka kwa sauti aisee

Sema nimalize kesi mie!!Hiyo kauli huwa inanifanya nidai hata venye sikuahidiwa.
Actually ni mimi ndo nadaiwaSema nimalize kesi mie!! Haya nambie rafiki
Actually ni mimi ndo nadaiwa
Ila since umejiandaa kulipa, hebu tutikise kidogo.
Kuna kitu jukwaa linanidai. Recall
Kuna mtu alituchamba vimbaumbau wavaa madera (haswa nyeupe) eti tunaonekana kama ustaadh kavaa kanzu



Unaweza delete picha ukishatuma hapa? Mbona nashindwa, muongozo pls!
Tulia kwanza sasaa. Me nlikua nakuweka aware kua sijasahau.Aseeh fanya namna basi rafiki.. ok kumbe nakudai haya fanya namna ulipe basi!
Tulia kwanza sasaa. Me nlikua nakuweka aware kua sijasahau.
Sasa hebu tutikise kwanza kidogo. Deni langu lazima nililipe
Aiseeeeeeeee!!
Lol wee mtoto ni nyokko... Unapendeza hatari sana
Umejiziba sana mzagamuaji