Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
Ewaaaa..... naamna nasubiri budget tuNiko busy natafuta inspiration ππView attachment 2159709
Hahahaaa vocha umesema kesho sio!! haya mlale unono wapendwa!Nilijua tu kuwa boss ledi atashusha bonge la picha[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hadi server zimetetemeka
Mbona unaguna my ex[emoji4]
Usinifanyie hivyo boss, haya mambo yanazungumzikaπππShauri yako....π Mi ndo naanza kujitoa mdogo mdogo hivyo....πΆπ½ββοΈπΆπ½ββοΈπ
Siku mkiniona nimetupia one of these basi mjue I'm no longer a Lakionaire πSVR unyama sanaaaa... bado nazi double kwa blockerView attachment 2159738
SVR 4dr 4x4 2020 Land Rover Range Rover Sport Specs
Performance
Base engine type: V-8
Horsepower : 575 hp Horsepower rpm 6,000
Torque : 516 lb-ft.
Vipi hizi vocha bado nitume kesho au Saivi?? umeme umerudiNilijua tu kuwa boss ledi atashusha bonge la picha[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hadi server zimetetemeka
Hii unaendana nayoo kabisa.. hii bonge ya bakoraa.. nitaomba niwe mpambe wako ππππSiku mkiniona nimetupia one of these basi mjue I'm no longer a Lakionaire π View attachment 2159747View attachment 2159748View attachment 2159749
Nimeogopa hao watetezi wako ππUsinifanyie hivyo boss, haya mambo yanazungumzikaπππ
Usiwajali, nimeshawaambia wewe ni mtu mwema sana umeshanilipa hela zote (ingawa Sijapata hata shilingi 50) ππNimeogopa hao watetezi wako ππ
Wataniletea stress bure π₯΄
βΊβΊβΊHii unaendana nayoo kabisa.. hii bonge ya bakoraa.. nitaomba niwe mpambe wako ππππ
Sasa mbona kama umejifunga mwenyewe??? Baadae ukija kunidai nakugeuzia kibao wanakuandama wewe π€£π€£π€£π€£Usiwajali, nimeshawaambia wewe ni mtu mwema sana umeshanilipa hela zote (ingawa Sijapata hata shilingi 50) ππ
Alijutaπ€£π€£π€£π€£π€£ sipati picha kisanga kilichomkuta na hivi humu ndani wote mboga 7. teh teh
Wasukuma kwenye ubahili watoe haraka sana tena bila masharti. Si kwenye vyakula wala pesa. Msukuma akiwa nacho anakupa tu na ni mojawapo ya makabila yanayojulikana sana kwa ukarimu. Ubahili waachie Wapare na Wakinga [emoji51][emoji51][emoji51][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Ubahili upareni is overrated [emoji2]
Wabahili eti nasikia ni wanyaki na wasukuma [emoji23][emoji1787][emoji23]
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Mguu umenivutia sana, especially toes, I find them aesthetically pleasing.
Jizazi [emoji16][emoji16][emoji16]
Kweli kabisa bageshi, wasukuma hawana ubahili kabisaWasukuma kwenye ubahili watoe haraka sana tena bila masharti. Si kwenye vyakula wala pesa. Msukuma akiwa nacho anakupa tu na ni mojawapo ya makabila yanayojulikana sana kwa ukarimu. Ubahili waachie Wapare na Wakinga [emoji51][emoji51][emoji51][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
OhDollar kadhaa hivi [emoji385][emoji385][emoji385][emoji765][emoji765][emoji765].. si unajua weekend ndio imeanza sasa..
Shoga yako anazingua. Sijui kakutana na Msukuma gani bahili huko mpaka anatukusanya wote yaani. Jaribu kumwelimisha huko kwa ukaribu!Kweli kabisa bageshi, wasukuma hawana ubahili kabisa