Wasukuma kwenye ubahili watoe haraka sana tena bila masharti. Si kwenye vyakula wala pesa. Msukuma akiwa nacho anakupa tu na ni mojawapo ya makabila yanayojulikana sana kwa ukarimu. Ubahili waachie Wapare na Wakinga
Wasukuma kwenye ubahili watoe haraka sana tena bila masharti. Si kwenye vyakula wala pesa. Msukuma akiwa nacho anakupa tu na ni mojawapo ya makabila yanayojulikana sana kwa ukarimu. Ubahili waachie Wapare na Wakinga