Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Boss kumbe ulika-renew kale ka offer kimyakimya; tufanye maarifa basi😀😀😀.. acha tu.. Mungu alitumia udongo wa mahala pake paitwapo eternity... maana hata kwenye mbingu za mbingu hapa ku qualify kuumbiwa weweee...
alafu kale ka offer ka 5 star kanaelekea kuisha 😎😎
Hiyo mishono utai-modify iwe according na wewe unavyotakaNina vitenge aina 2
Na plan zangu zilikuwa ni iwe ya tight 1 na solo 1.
Ya tight kichwani nna mshono mmoja, mnipe mingine nishindanishe.
Unashangaa tu umenuniwa na mtu.
Kumbe kuna mtu amekusakizia msala wa picha huko hata habari Huna
Na mimi kuomba picha siachi jamani hadi Masihi arudi.





JF hoyeeeeeeeh.Nimemuona ule mshono wetu.Ndiyo, wewe sio mtoto wa Abiud. Aisee nimekutafutia tu za mtandoani;
C.c mahondaw
View attachment 2156401
View attachment 2156402
View attachment 2156405
View attachment 2156406
View attachment 2156407
View attachment 2156414
View attachment 2156415
View attachment 2156416
View attachment 2156417
View attachment 2156418
View attachment 2156419
View attachment 2156421
View attachment 2156422
View attachment 2156423
View attachment 2156424
View attachment 2156425
View attachment 2156427
Eti anaunganisha mguu wake na fimbo .
Anatafuta kitu Gani hapo??
Atamfikia boss ledi kweli Kwa wazo hilo la kuunganisha miguu yake na fimbo zangu![]()





hivi unajua wee ni chizi?Hivi nilikwambia nitakuringishia eeh?Nimemuona ule mshono wetu.
Ngoja nitafute fundi aisee
Katakuja tuu muda si mrefuAmen!! Amen Hauna ka selfii utupiemo??!!
kama mna matumbo manne vile.. mgawanyo unakuwa mkali.. minyoo ile na wewe ule.. lazima uteseke sanaaa.. tusio na minyoo wala hatuna hizo






hongereni sana, sie wenye minyoo tunapambana na hali zetu.Sio mchoyo kwahiyo uje ule mpaka ukombe sufuria
![]()




na nitakomba sufuria kweli.Sasa ngoja nikuwahiHivi nilikwambia nitakuringishia eeh?
Hahaha ndiyo hiyo tunayoiongelea na mtakatifu. Ngoja nije niwaringishie yanguHeaven Sent haka kazuri.. na nina gauni ya kitambaa mfananio huu ‘ ya spesho ilaView attachment 2156451
Ndio huu nilitaka akupeHeaven Sent haka kazuri.. na nina gauni ya kitambaa mfananio huu ‘ ya spesho ilaView attachment 2156451

Wee picha ya mkanda iko wapi? Sijaona miebosi ledi mwenyewe mshamba tu
!!
Weee subiri kwanza nitafute fundiHahaha ndiyo hiyo tunayoiongelea na mtakatifu. Ngoja nije niwaringishie yangu
Ngoja nirudi home niivae tu na kupiga picha🤣🤣🤣🤣Sasa ngoja nikuwahi