cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Bora yako wee usiyoijua ila ya aman, sie wengine sasa mbna JF itasimama kwa muda woiiiiiiihKuna gharama yake kuomba omba picha.
Nishasakiziwa Hadi misala nisiyoijua![]()






Bora yako wee usiyoijua ila ya aman, sie wengine sasa mbna JF itasimama kwa muda woiiiiiiihKuna gharama yake kuomba omba picha.
Nishasakiziwa Hadi misala nisiyoijua![]()






Tena akuje haraka sana, wee Mr vocha uko wapi?




Ukiunganisha na wangu umekwisha😂Emu thibitisha 😇
Ukiunganisha na wangu umekwisha
Hili halina ubishi.
Mguu Gani sasa nilionao utaunga hapo??
Kwanza tege limechanua imekaa kama V,hata kuungisha haiwezekani.









Unashangaa tu umenuniwa na mtu.Bora yako wee usiyoijua ila ya aman, sie wengine sasa mbna JF itasimama kwa muda woiiiiiiih![]()
Kibubu unacho bhanaNitafika tena kwa hakika
Katika mikoa yote niliyofika Mwanza nilipaelewa sana. Na nilikula bata la hatareee![]()
Ila huu mwaka sijui, maana mpaka dk hii sina hata kibubu cha vacation.
Eti anaunganisha mguu wake na fimbo .
kama mna matumbo manne vile.. mgawanyo unakuwa mkali.. minyoo ile na wewe ule.. lazima uteseke sanaaa 🤠🤠.. tusio na minyoo wala hatuna hizowacha wee bas sawa, sie wenye minyooo tunasema weuweeeeeeeh.
Halijalifikia lako lile guu la kimataifa.Guu linahamasisha... umedamshi ki nouma nouma
Pole aiseeWakati nimekuja sikua na access ya JF, nlipigwa ban 3months.
Nipo mie uwezi usijaliNitafika tena kwa hakika
Katika mikoa yote niliyofika Mwanza nilipaelewa sana. Na nilikula bata la hatareee![]()
Ila huu mwaka sijui, maana mpaka dk hii sina hata kibubu cha vacation.
Niombe mimi tuoneUnashangaa tu umenuniwa na mtu.
Kumbe kuna mtu amekusakizia msala wa picha huko hata habari Huna😂🙌
Na mimi kuomba picha siachi jamani hadi Masihi arudi.
Ewaa boss, nifanyie jambo. Leo weekend nikauze sexy tege langu🤣🤣🤣Heaven Sent kuna vizawadi vyako hapaView attachment 2156348
😄😄😄😄 Sio mchoyo kwahiyo uje ule mpaka ukombe sufuria 😁mwenyeji unaniogopesha, unataka nisiwe mgeni wako mie mtu wa kula sana. Uwiiiiih
Kwani hii circle ilienda mpaka wapi? 🤣🤣Unashangaa tu umenuniwa na mtu.
Kumbe kuna mtu amekusakizia msala wa picha huko hata habari Huna😂🙌
Na mimi kuomba picha siachi jamani hadi Masihi arudi.
Mbona huo mkanda kama unakukaba 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 ila wewe una mambo.Ukiunganisha na wangu umekwisha😂
Hili halina ubishi.
Mguu Gani sasa nilionao utaunga hapo??
Kwanza tege limechanua imekaa kama V,hata kuungisha haiwezekani.
Yanii na unanikaba kweli kweliMbona huo mkanda kama unakukaba![]()
Tulione 😹Ewaa boss, nifanyie jambo. Leo weekend nikauze sexy tege langu🤣🤣🤣