Selfika na JF: Snap it. Show it

mla senene wangu hawezi huyu amefika na miye mmefika Kigoma mwisho wa leri,hvyo tumefikishana...!!Mimi kurudi hukoo babinza na engwasii sahau tenaa!!!
!!!hapa najiandaa kwenda Misenyi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna tapeli amenipigia simu
Kweli maisha ni magumu mtaani

Sasa sijui anataka kunitapeli nini wakati hela sina.

Nimemsikiliza weee Hadi mwisho nikamwambia asihangaike sana mimi hela sina.
halotel ndo Sanaa na airtel kidogo una bahati hujatukanwa wana matusi balaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wee!!hongera sana kwa kijana wetu...I love her! Ngoja akija bongo akapige goti kule bariadi Kwanzaa
sijui ataweza na kule michembaa!!!

Hahaha!!shemu una kamusi ya kisukuma eehhh!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
halotel ndo Sanaa na airtel kidogo una bahati hujatukanwa wana matusi balaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wamenitukana

Wao wamekuja kwa gia ya biashara.
Na mimi nimeenda nao hadi mwsho..
Kama saa zima naongea nao


Huyu anasema mpigie huyu mwambie hivi?na mm nafata maelekezo hivyohivyo..anasema mpigie tena mwambie hivi
Hivyohivyo nafata
Wakajua wameniokota kweli


Sasa mwishoni nilikuwa nimemuweka conference rafiki yangu anasikiliza
Akaangua kicheko

Wakasikia
Akawaambia sasa mnataka kumuibia dada jamani

Weee mmoja ameporomosha matusi..mwingine anasema basi naombeni hata hela ya vocha jamani

Kumbe wamekaa wote sehemu moja

Tukamwambia mwenzio ametutukana tungekupa..anasema ngoja nimwambie awaombe msamaha jamani..mnipe angalau ya vocha tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣 wanataka uwarudishie capital yao waliotumia kuongea na wewe
 
Anayebisha afanye kama anajikuna
Anyoshe kidole

Yutong ya bosi ledi kama mlima loleza limefunika uzi mzima..hakuna mtu anaona ndani
Hata yule dada mshepu wanamsifiaga humu haoni ndani


Huyu ndiye boss ledi sasa tunayemjua sisi
Dada uchawa na upapasi unauweza uko vzr
mweehh

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…