Kawaida ndani ya tarakishi kuna fan inayopoza CPU kwa mtindo wa kulitoa joto lililopo ndani liende nje, sasa unapoiweka juu ya godoro unazuia huo mzunguko wa hewa maana godoro sio conductor mzuri wa joto zaidi ni kama thermal insulator fulani hivi...
Kawaida ndani ya tarakishi kuna fan inayopoza CPU kwa mtindo wa kulitoa joto lililopo ndani liende nje, sasa unapoiweka juu ya godoro unazuia huo mzunguko wa hewa maana godoro sio conductor mzuri wa joto zaidi ni kama thermal insulator fulani hivi...
Za Sakayo nasoma maana nishakula mahari ya watu wa3 then akakwapuliwa na mwingine, wakasamehe.
Huyu wa4 ni mtu poa sana naogopa mahari yake kwenda burebure.