Selfika na JF: Snap it. Show it

Kabisa. Sio mambo ya kupakwa make up utafikiri umepakwa unga; wengine ndiyo wanakandika foundation hadi sura inakuwa nzito kama uji mweeh
Hahaha kweli dear
Unakuwa hupendezi hata mbaya zaidi ukute wanatumia foundation mbaya zile ..

Kikubwa kwenye kupakwa foundation ni muhimu waangalie skin tone yako , Sio wewe mweusi wakupake ya mtu mweupe hapo unabaki kuwa kichekesho .
 
Na MUAs wengi naona kwa watu weupe wala hawana tatizo; kwa sisi vyeusi mangala sasa, hukawii kuchekesha
Hahaha kweli dear
Unakuwa hupendezi hata mbaya zaidi ukute wanatumia foundation mbaya zile ..

Kikubwa kwenye kupakwa foundation ni muhimu waangalie skin tone yako , Sio wewe mweusi wakupake ya mtu mweupe hapo unabaki kuwa kichekesho .
 
Na MUAs wengi naona kwa watu weupe wala hawana tatizo; kwa sisi vyeusi mangala sasa, hukawii kuchekesha
That's so true ...sie weusi ndo kama umekosewa kupakwa inabidi upunguze tu .

Sema hizi saluni za mtaani au upakwe na mtu hapo kuna asilimia kubwa za kutopendeza au kukandikwa foundation tu hapo .
 
Hahaha kweli dear
Unakuwa hupendezi hata mbaya zaidi ukute wanatumia foundation mbaya zile ..

Kikubwa kwenye kupakwa foundation ni muhimu waangalie skin tone yako , Sio wewe mweusi wakupake ya mtu mweupe hapo unabaki kuwa kichekesho .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…