Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Sambusa ni tamuu.. hadi nilijiuma kidole 😀😀sema wapi zikufateMie sambusa tu jamani 🤤 🤤 🤤
Sambusa ni tamuu.. hadi nilijiuma kidole 😀😀sema wapi zikufateMie sambusa tu jamani 🤤 🤤 🤤
Hii ni Akemi Revolving Restaurant pale post, Mtaa wa Ohio, Golden Jubilee tower floor ya 21.Ni wapi hii?
Kumekuchaa😅😅😅Eeeeeeeeeh uwiiiiiiih tobaaaaaaaah wee.
Hebu nikae kmya mie, mweeeeeh sio kwa lips hizo.
Chozi la simba😋
Hii ni Akemi Revolving Restaurant pale post, Mtaa wa Ohio, Golden Jubilee tower floor ya 21.
Mideko ka like picha ya page ya 2296 huko zamani za kale 😀, post zingine tulikua watoto wenye tabia za Hovyo sasa hivi tumekua kidogo
View attachment 2154135

Siku hizi wenye hela ni wanao tumia soft method.. hizi zetu huku mashimo.. hataru sana.. invest in technology ndani ya mwaka mmoja wewe sio mtu wa kawaidaaaYule matron wao mwenye lafudhi ya kikenya yupo? Hapo watu unawakuta wamekaa kumbe wanaingia mamilioni kwa kucheza na laptop zao tu![]()
Sijui Boss , mi naendaga tu kuosha macho😎, waanaingiza mamilioni ni wale wakulungwa wenye skills zao ie (PRICE ACTION) 😎🤣, support & resistance, candle stick patterns etc.Yule matron wao mwenye lafudhi ya kikenya yupo? Hapo watu unawakuta wamekaa kumbe wanaingia mamilioni kwa kucheza na laptop zao tu![]()

gari inatosha kupita hata kwa watembea miguuPale pale Blue & White House 😁😁😁Sambusa ni tamuu.. hadi nilijiuma kidole 😀😀sema wapi zikufate
asahivi zinafika 😎😎Pale pale Blue & White House 😁😁😁