Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo hata mimi nakutetea, mwanaume unatakiwa uwe hardcore sio kuonyesha madimples na kulamba lips.
Kabisa..Alafu Mimi ni hip hop simaindigi hizo mambo za kulamba midomo..Nina pigo za Fido Vato
Atakusamehe tu ngoja ashibe lunch
Kwanza Depal ni mtoto wa Arusha,inakuwaje anafagilia vitu km hivyo kutoka Kwa mwanaume?
 
Afadhali…
Leo naona nitalipwa madeni yangu

Ka oficial dress kametulia

Kuajiriwa ni kugumu basi tu, tena uwe na kazi zile zinazotaka weekly, monthly na qouters report utaona maisha magumu

Asbh uwaze kutoka kitandani mpk ujiandae ufike ofisini, ukifika unawaza breakfast na lunch time. Ukishashiba unawaza muda ufike uondoke

Ikifika alhamis unashusha pumzi, at least week iko ukingoni.

Waliojiajiri nao wana malalamiko yao mengi sana , ni vile tu hatujawasikia.
Tuliojiajiri hamna hata iyo ya kuitwa wkend ni mchaka mchaka mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom