walokole gani hao.. mbona walokole wengi wanachapa mini, skin jeans pendo etc.. na wapo on fire kuliko wavaa majuba ππ
Eeeeeeh sasa nan kasema hilo?Wewe watu kuona wanacheka wanafurahi na wewe sio kwamba mpo kundi moja.. dhambi ni dhambi na haki ni haki
Naona bado unahangaika kusema sijui chochote wakati ushindi ushaupataUshindi kama umenipa usi ni quote ndio nitajua imeisha ili tuendelee kutupia selfi matata
Nijaze nijaze tu yani wee nipambe tuMwee
Tupia hata kidole chako boss ledi
Si unajua tena hakuna picha yako iliyowahi kuwa mbayahaipo!
Bora kwakweli πHapa umenitoa.. nikasake chakula πππ
Tupo kwenye mavazi
Imeisha vita tayari.. hapa namnalizia tu.. nichukue majimbo yote ya Ukraine
Elewe hivi mkuu Kristo alikuja ulimwenguni ili kuokoa kilichopotea.. kuwapa uzima wasio kua nao.. na nuru kwa walio na giza.. katika U krito kuna maisha mawili kuna maisha mawili.. ukisoma Bible.. unaambia Yesu alipata kibali kwa Mungu na kwa mwadamu.. inawezekana kabisa ukawa na Kibali kwa Mungu ila ukakataliwa na wanadamu na inawezeakana ukwa na kibali kwa wanadamu na ukakataliwa na Mungu ni vyema ika balance pote.. Okay.. character inatupa picha kamili ya wewe ni nani.. character ina picha mbili.. na inajengwa na vitu viwili.. sina mood ya kumwaga nondo.. acha nimalizena kwanza na mtu hapa ππππ alafu nirudi nidadavuw point to pointUtamaduni wa Msukuma ni polygamy. Je wasukuma walipaswa kuhubiriwa ukristo na kuendelea na utamaduni wao?
Kipi ni sahihi?
ππππ.. yes
Mashoga dhabu yao ipo clear kwenye maandiko hiyo huitaji nguvu kubwa kuelewa.. But Kuna neema na huruma za Mungu.. sio kila shoga ni shoga.. wengine ni mashoga kwasababu wapo under influence ya devil himself.. Mashoga wengi wanaacha na kuwa watu wazuri kwa Mungu na kumtumikia Mungu..
Ukishafahamu unataka kufanyaje? Mungu mwenyewe kwa majira yake ikimpendeza atakupa ufahamu.. na isipo mpendeza kimbembe kina kuhusu..
Tupia boss ledi wetuNijaze nijaze tu yani wee nipambe tu
kadogoo Saint Anne nakaambia nimekula shule for 10 years kana ibeza.. hiyo shule ndio imenipa kufahamu nyeusi na nyeupe.. walokole wengi wavivu kujisomea na wavivu hata kwenye maisha wao ni wazee wa fire fireee wakifikiri mambo huja automatic..
Kuvaa vaa manguo marefu kwanza ikatazwe Kama nchi watu ndio wanaficha mapanga humoWalokole
Waliokoka kwa 100%
Wanayoyaishi maisha ya utakatifu at least kwa 85%
Nguo fupi kwao ni dhambi/ haijakaa sawa kimaadili.
Leo tuko buzzy na mahubiri shouzzzzzzzz, kaka kwa kutuliaNijaze nijaze tu yani wee nipambe tu
Naona unatiririka hoja zako chief mkwawaKuvaa vaa manguo marefu kwanza ikatazwe Kama nchi watu ndio wanaficha mapanga humo
Acha nikale sasa baada ya kupiga ma hiroshima hadi mtu kapotea πππ
Naona unatiririka hoja zako chief mkwawa
I wish watu wangekusikia sasa unavyozidadavua..wangecheka wazimie ulivyo comedian.
Halafu ukimaliziaga na ile sentensi kwamba yaani hiyo siku ya mwisho hesabu zitapigwa kwelikweli.,itakuwa patashika.