Kuna mwingine hivi hapendi suruali zile skin jeans.Mambo ya kuvaa Kama mashahidi wa yehova Mimi sijafagilii kabisa
hata nguvu wanachapaga kimini mala moja moja na wana shine ile mbayaaa ππππ..Unavaa gauni
Unatokelezea kama nguva
Unachoshaje sasa kwa mfano[emoji1787][emoji848]
Wala sihitaji uniprovie vitu ambavyo ni dhambiPedo sio dhambi, kimini sio dhambi, suruali sio dhambi, vipini sio dhambi, vikukuu sio dhambi na urembo inshort sio dhambi.. ukitaka kimaandiko nita prove, ukitaka kisiasa nita prove na ukitaka kimazoea pia nita prove [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Jana jioni ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea lini umeanza upambe? Khaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hilo sketi lako la marinda labda utoke na ABIUD MISHOLIKuna mwingine hivi hapendi suruali zile skin jeans.
Hakii wanaume nanyi hamjui mnachokitaka.
Sisi mtu anitoe out kama sijamuendea na sketi langu la marinda
Me mwenyewe hapa nilipo nimevaa sketi ndefuu..Kha [emoji28] kama hii nimeitinga leo
Aise nguo ndefu staha jamani kwa mtoto wa kike .View attachment 2152895
Sio dhambi, na usitake kusema dhambi kuwatia hofu watu.. iliyo dhambi acha isemwe dhambi na isiyo dhambi tutasema sio dhambi.. utabaki mahusiano binafsi ya Roho wa Mungu na mtu katika kumuongoza acha hiki na fanya hiki kutokana na kusudi la Mungu kwa huyo mtu.. maana ya dhambi yenyewe huenda hujui πππWala sihitaji uniprovie vitu ambavyo ni dhambi
Wewe kama unavaa na unaona ni sawa basi vaa tu ila ukweli upo wazi.
π€£π€£π€£π€£ππ noHilo sketi lako la marinda labda utoke na ABIUD MISHOLI
Wee nae umekuja mbio mno, sasa ole wako ufanye mafekeche waone wengine, ntakata nyanya 2 hizo zinazobembea chini ya kiuno. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo niliiona
Na ulipendeza hatari
Ulitisha sana [emoji1787][emoji1787]
Poaaaaah [emoji23][emoji23]Haya dear
Naisubiria
Mtoto lazima ang'ae harufu classic.. ngozi peruuuu... nywelee zingaee... hata ukimtazama mwenyewe unasema hapa nilichagua.. sio unakaa na mtu unaanza jitilia mshakaaa kavaa kama anaenda kuagua majini ππππMambo ya kuvaa Kama mashahidi wa yehova Mimi siyafagilii kabisa
Hii nusura nianguke kwenye ngazi leo maana inagusa chini balaa [emoji28]Me mwenyewe hapa nilipo nimevaa sketi ndefuu..
Nguva sie tuna mambo [emoji23]
AiseeeSio dhambi, na usitake kusema dhambi kuwatia hofu watu.. iliyo dhambi acha isemwe dhambi na isiyo dhambi tutasema sio dhambi.. utabaki mahusiano binafsi ya Roho wa Mungu na mtu katika kumuongoza acha hiki na fanya hiki kutokana na kusudi la Mungu kwa huyo mtu.. maana ya dhambi yenyewe huenda hujui [emoji2][emoji2][emoji2]
Mamalai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa tuvae nini?
Emu sema, hizi date outings nisijekuwa naendaga op..
Unafiki hauwafikishi popote lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mimi mtu avae hivo magauni yanagusa viatu abadan siwezi kuongozana nae
π€£π€£Mtoto lazima ang'ae harufu classic.. ngozi peruuuu... nywelee zingaee... hata ukimtazama mwenyewe unasema hapa nilichagua.. sio unakaa na mtu unaanza jitilia mshakaaa kavaa kama anaenda kuagua majini ππππ
Mimi hapana aisee [emoji3][emoji3][emoji3] nikikuona tu kwa mbali nachimba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] no
Namtaka Fortnox
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba tutoke [emoji3] nitavaa lililojuu ya kisigino na limevuka magoti mixer soup za mguu
[emoji1787][emoji1787]Kuna mwingine hivi hapendi suruali zile skin jeans.
Hakii wanaume nanyi hamjui mnachokitaka.
Sikumtu anitoe out kama sijamuendea na sketi langu la marinda