Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Hiyo niliionamuulize mahondaw mie n mzungu bhana,
Wee eti anavaa kipusa hivyo, mie full naked na niliweka hapa lol.
Ataniweza wapi huyoooo wako? Aje nimpe darasa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Haya dear
ππππ.. Mala moja moja kula pensi tokelezeaa kula pedo unawakaa chini snicker moja matata ya filaaa.. kama mbele vile.. acha ukoloni Yesu anakaa moyoniKwa kipi hasa?
halafu unakumbuka ahadi yetu ya kufanya mashindano? ulinambia utakuja na ndinga. Hatujaitekelezaga.
Mimi mtu avae hivo magauni yanagusa viatu abadan siwezi kuongozana nae
Unaweza shangaa mtu anakuuliza mnaenda kuzika wapi ππππMimi mtu avae hivo magauni yanagusa viatu abadan siwezi kuongozana nae
Naomba tutoke π nitavaa lililojuu ya kisigino na limevuka magoti mixer soup za mguuMimi mtu avae hivo magauni yanagusa viatu abadan siwezi kuongozana nae
Na huu mwili ni hekalu la roho mtakatifu... Mala moja moja kula pensi tokelezeaa kula pedo unawakaa chini snicker moja matata ya filaaa.. kama mbele vile.. acha ukoloni Yesu anakaa moyoni
Emu nisafishie macho kwanza nahisi ukungu
Unaweza shangaa mtu anakuuliza mnaenda kuzika wapi
πππ Huna hoja.. dogo. Bible ipo very clear katika habari ya dhambi, katika habari ya haki etc.. sio peke yako mkristo au sio peke yako mwenye Roho.. Kilicho dhambi kipo clear na kisicho dhambi kipo clearNa hao wanaotetea dini wako biased
Kuna dhambi wanaziona takataka ila zipo zile wanazozofavor na kuzipambania.
Unavaa gauniNaomba tutokenitavaa lililojuu ya kisigino na limevuka magoti mixer soup za mguu
Ushoga nani anafurahi.. kigezo cha kumtenga mtu ni kipi? unajuaje kama sijamtenga au nimemtenga.. naweza kukuambia nakupenda na nikawa nakuchukia kuoita kiasia na ukikutana na mie nakuchekea
Basi tufanye wewe mwenye hoja za pedo uko sawa kwa mtazamo wako.Huna hoja.. dogo. Bible ipo very clear katika habari ya dhambi, katika habari ya haki etc.. sio peke yako mkristo au sio peke yako mwenye Roho.. Kilicho dhambi kipo clear na kisicho dhambi kipo clear
ππππππππ hapo unamktaaa mapema tu.. kukutana kituo cha kaziunakuta kavaa na wigi la ajabu utadhani amejitwisha kuku tetea
nakuskikiza ww boss. Pumzi unayo kwanza? au maneno tuaaaaah aseeeeh, nmekumbka lini sasa? Maana ndinga enyewe now iko mbali, ko inakuaje?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mambo ya kuvaa Kama mashahidi wa yehova Mimi siyafagilii kabisaNaomba tutokenitavaa lililojuu ya kisigino na limevuka magoti mixer soup za mguu
π€£π€£π€£π€£ sasa tuvae nini?Unavaa gauni
Unatokelezea kama nguva
Unachoshaje sasa kwa mfano
Sidanganyiki.. huwezi nijaza upepo kirahisi nikamwaga mbogaaa
Pedo sio dhambi, kimini sio dhambi, suruali sio dhambi, vipini sio dhambi, vikukuu sio dhambi na urembo inshort sio dhambi.. ukitaka kimaandiko nita prove, ukitaka kisiasa nita prove na ukitaka kimazoea pia nita prove ππππππBasi tufanye wewe mwenye hoja za pedo uko sawa kwa mtazamo wako.