Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtafute sasa mwimu wa Neno la Mungu akufundishe
Maana hili ni somo.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Mie mwenyewe mwalimu.. hakuna andiko la mavazi.. isipokuwa kuna maelekezo ya mavazi na yalitolewa katika jamii flani na ilikuwa kwasababu.. sasa kama unachukua andiko ambalo lilikhwa direct kwenye jamii fulani na kutaka lifanye kazi kote ume fail πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kumbe unajua yote mwenzetu hongera.
Wewe ni fundi.

Bila shaka unasali kanisa ambalo wanawake wanavaa suruali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…