Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na baraka zako zimechangia kwa kiasi kikubwa sana.
Mungu azidi kukuweka karibu yetu daima [emoji120]
Sisi ni ndugu, ndugu yangu. Tuombeni tu uzima Mungu Atulinde tuje angalau tuone hawa wanetu nao wakipiga hatua za kimaisha baada ya kutupokea kijiti ili nao waanzishe yao; na kuendeleze baadhi ya tuliyoasisi katika maisha yao. Sote tubarikiwe sana [emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536]
 
Sisi ni ndugu, ndugu yangu. Tuombeni tu uzima Mungu Atulinde tuje angalau tuone hawa wanetu nao wakipiga hatua za kimaisha baada ya kutupokea kijiti ili nao waanzishe yao; na kuendeleze baadhi ya tuliyoasisi katika maisha yao. Sote tubarikiwe sana [emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536]
Ahsante shemeji.
Mungu ni mwema, yaliyo ya heri yakawe upande wetu daima.
 
Sisi ni ndugu, ndugu yangu. Tuombeni tu uzima Mungu Atulinde tuje angalau tuone hawa wanetu nao wakipiga hatua za kimaisha baada ya kutupokea kijiti ili nao waanzishe yao; na kuendeleze baadhi ya tuliyoasisi katika maisha yao. Sote tubarikiwe sana [emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536]
Uwe unapitapita kwa Anko, kuna siku utanibahatisha[emoji1787][emoji57][emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom