Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Eti kananitishia kabisa😁😁Anaona kakua 😀😀😀
Eti kananitishia kabisa😁😁Anaona kakua 😀😀😀
hahahahaha,hebu tuwasiliane wanguHappy birthday in advance kizee changu cha toka enzi na enzi..😂 ishi sana mwamba
Kesho nitakua busy na mambo mengine sitaweza kukuwish
Unawasha makofi ya mgongo tu.. ashike adabu 😎😎Eti kananitishia kabisa😁😁
IUnawasha makofi ya mgongo tu.. ashike adabu 😎😎
Weka ya juzi ikiwa na vidoleZangu zipi unazotaka kuziona? Afu dogo unashindana na mimi siku hizi?




vitoto kama hivyo ni kuvizabua tu makofiNdipo tunapoelekea
I
DuhHahahaha madam umenikumbusha enzi hizo "nyie msome, msisome; mimi mshahara wangu upo palepale"

Eti kananitishia kabisa![]()




Duh
Nimepitwa na picha ya boss ledii
Boss ledii tafadhali irudiwe.
Tutaona nini sasa kama sio picha Zako![]()
Mweeeehhahaha ! Kazi iendeleee
Waache wamtamkee 🤣
Benzema beib 💃💃
Ili ugundue nini sasa?Weka ya juzi ikiwa na vidole
Hee!
Mnanitishia?![]()
Picha gani na wewe Lumumba?Duh
Nimepitwa na picha ya boss ledii
Boss ledii tafadhali irudiwe.
Tutaona nini sasa kama sio picha Zako![]()



Sema suuu tukukomeshe
Naona umepata sapoti ya kadogo kako
Hivi unadhani sapoti ya hako katoto inanitisha?
Mweeeeh
Sema boss ledii huwa una roho nzuri,utairudia watu tusafishe nyota Kwa kuianza siku na picha ya pisi kalii ya boss ledi.
Picha please😂😂 sijawahi ona hata guu lako la bia ujue..nasikia tu hs ana guu guu..lakini sijawahi shuhudia nibariki basi mama😍😍