Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Mar 10, 2022 #156,781 mahondaw said: Ndio Msalimie kichitchat ivoivo!!! Click to expand... hahahaha.unapambanisha? Chombo ya wenyewe hy Humu sie tunavuta siku tu
mahondaw said: Ndio Msalimie kichitchat ivoivo!!! Click to expand... hahahaha.unapambanisha? Chombo ya wenyewe hy Humu sie tunavuta siku tu
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Mar 10, 2022 #156,782 financial services said: Ngombe ni multipurpose mkuu , kwetu ni usafiri na ni nyama piaπ Click to expand... Nendeni kwa matajiri wetu wa Kanda ya Ziwa wawakopeshe Pick-up π» muanze kutumia kwa usafiri badala ya kuwatesa Ng'ombe π Shimba Ya Buyenze fanya mpango uwakopeshe π» hawa Wanyaki waache kututesea mifugo yetu
financial services said: Ngombe ni multipurpose mkuu , kwetu ni usafiri na ni nyama piaπ Click to expand... Nendeni kwa matajiri wetu wa Kanda ya Ziwa wawakopeshe Pick-up π» muanze kutumia kwa usafiri badala ya kuwatesa Ng'ombe π Shimba Ya Buyenze fanya mpango uwakopeshe π» hawa Wanyaki waache kututesea mifugo yetu
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,324 Mar 10, 2022 #156,784 Hahahaaaaa. Sawa bwana yaishe nilikua nakupima mjeda! mtu chake said: hahahaha.unapambanisha? Chombo ya wenyewe hy Humu sie tunavuta siku tu Click to expand...
Hahahaaaaa. Sawa bwana yaishe nilikua nakupima mjeda! mtu chake said: hahahaha.unapambanisha? Chombo ya wenyewe hy Humu sie tunavuta siku tu Click to expand...
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Mar 10, 2022 #156,785 Shimba Ya Buyenze said: Si ajabu kangekuwa domo zege Ila ukweli usemwe. Boss Lady ni kati ya wale wanawake wachache ambao hata akivaa gunia otomatikale anatokelezea tu. Na hapo eti ni mama wawili! . Click to expand... Ni kweli Mkuu, Me mwenyewe isingekuwa Uzee haki ya nani ningejitosa, Binti MashaAllah yule ππππππ
Shimba Ya Buyenze said: Si ajabu kangekuwa domo zege Ila ukweli usemwe. Boss Lady ni kati ya wale wanawake wachache ambao hata akivaa gunia otomatikale anatokelezea tu. Na hapo eti ni mama wawili! . Click to expand... Ni kweli Mkuu, Me mwenyewe isingekuwa Uzee haki ya nani ningejitosa, Binti MashaAllah yule ππππππ
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Mar 10, 2022 #156,786 Priscallia said: View attachment 2145286 Click to expand... mungu fundi
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,324 Mar 10, 2022 #156,787 Asante sana.ππππ binafsi nilimis sana selfii zako!! Priscallia said: View attachment 2145286 Click to expand...
Asante sana.ππππ binafsi nilimis sana selfii zako!! Priscallia said: View attachment 2145286 Click to expand...
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Mar 10, 2022 #156,788 mahondaw said: Hahahaaaaa. Sawa bwana yaishe nilikua nakupima mjeda! Click to expand... hahahaha endelea tu kunipima haiko shida
mahondaw said: Hahahaaaaa. Sawa bwana yaishe nilikua nakupima mjeda! Click to expand... hahahaha endelea tu kunipima haiko shida
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Mar 10, 2022 #156,789 Heaven Sent said: Ngoja nimbembeleze twende bonde la Usangu; kule tutakula mbuzi "kienyeji". Amazing sana Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Nakusubiri Mama Mchungaji, leo ilikuwa nielekee Morogoro imenilazimu ni postpone safari. Twende zetu tukachome Mbuzi huko Usangu π
Heaven Sent said: Ngoja nimbembeleze twende bonde la Usangu; kule tutakula mbuzi "kienyeji". Amazing sana Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Nakusubiri Mama Mchungaji, leo ilikuwa nielekee Morogoro imenilazimu ni postpone safari. Twende zetu tukachome Mbuzi huko Usangu π
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,324 Mar 10, 2022 #156,790 Watu mna matumbo flat hadi raha!!! Hongera sana umetokelezeajeeeeeeeπ! Priscallia said: View attachment 2145286 Click to expand...
Watu mna matumbo flat hadi raha!!! Hongera sana umetokelezeajeeeeeeeπ! Priscallia said: View attachment 2145286 Click to expand...
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Mar 10, 2022 #156,791 9.8ms squared said: Heaven Sent leo nimechelewa staff wanguView attachment 2145219 Click to expand... Same here Headmaster. Uwe unanipitia basi hapa mndela wa kwanza π€£π€£
9.8ms squared said: Heaven Sent leo nimechelewa staff wanguView attachment 2145219 Click to expand... Same here Headmaster. Uwe unanipitia basi hapa mndela wa kwanza π€£π€£
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Mar 10, 2022 #156,792 Priscallia said: View attachment 2145286 Click to expand... Wakati wenzetu wa Misri wakiomba wapate ardhi kama ya Tanzania, Mungu alikuwa Busy kumfinyanga Priscallia Mungu fundi aisee ππππ
Priscallia said: View attachment 2145286 Click to expand... Wakati wenzetu wa Misri wakiomba wapate ardhi kama ya Tanzania, Mungu alikuwa Busy kumfinyanga Priscallia Mungu fundi aisee ππππ
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,324 Mar 10, 2022 #156,793 Hahahaha... camera tu mkuu!! Ukimuona utajificha mbona! π€£ππ Grahams said: Ni kweli Mkuu, Me mwenyewe isingekuwa Uzee haki ya nani ningejitosa, Binti MashaAllah yule ππππππ Click to expand...
Hahahaha... camera tu mkuu!! Ukimuona utajificha mbona! π€£ππ Grahams said: Ni kweli Mkuu, Me mwenyewe isingekuwa Uzee haki ya nani ningejitosa, Binti MashaAllah yule ππππππ Click to expand...
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Mar 10, 2022 #156,794 9.8ms squared said: Heaven Sent.. ualimu ni wito.. acha tuwape watoto maarView attachment 2145221ifa Click to expand... Kweli mdogo angu; na ndiyo maana walimu hatuzeeki
9.8ms squared said: Heaven Sent.. ualimu ni wito.. acha tuwape watoto maarView attachment 2145221ifa Click to expand... Kweli mdogo angu; na ndiyo maana walimu hatuzeeki
Priscallia JF-Expert Member Joined Nov 9, 2019 Posts 496 Reaction score 2,456 Mar 10, 2022 #156,795 Grahams said: Wakati wenzetu wa Misri wakiomba wapate ardhi kama ya Tanzania, Mungu alikuwa Busy kumfinyanga Priscallia Mungu fundi aisee Click to expand... Kuna ufundi gani hapo G
Grahams said: Wakati wenzetu wa Misri wakiomba wapate ardhi kama ya Tanzania, Mungu alikuwa Busy kumfinyanga Priscallia Mungu fundi aisee Click to expand... Kuna ufundi gani hapo G
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Mar 10, 2022 #156,796 mtu chake said: hahahaha.kibao sijaona vzr.nilijua mazinyungu primary Click to expand... Daah hivi Mazinyungu bado inahudumia na wanafunzi wasioona?
mtu chake said: hahahaha.kibao sijaona vzr.nilijua mazinyungu primary Click to expand... Daah hivi Mazinyungu bado inahudumia na wanafunzi wasioona?
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Mar 10, 2022 #156,797 Grahams said: Nakusubiri Mama Mchungaji, leo ilikuwa nielekee Morogoro imenilazimu ni postpone safari. Twende zetu tukachome Mbuzi huko Usangu π Click to expand... Hayo ndiyo maneno sasaπ€£π€£
Grahams said: Nakusubiri Mama Mchungaji, leo ilikuwa nielekee Morogoro imenilazimu ni postpone safari. Twende zetu tukachome Mbuzi huko Usangu π Click to expand... Hayo ndiyo maneno sasaπ€£π€£
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Mar 10, 2022 #156,798 mahondaw said: Hahahaha... camera tu mkuu!! Ukimuona utajificha mbona! π€£ππ Click to expand... Aah wapi
mahondaw said: Hahahaha... camera tu mkuu!! Ukimuona utajificha mbona! π€£ππ Click to expand... Aah wapi
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Mar 10, 2022 #156,799 Heaven Sent said: Daah hivi Mazinyungu bado inahudumia na wanafunzi wasioona? Click to expand... nadhani ila cna uhakika
Heaven Sent said: Daah hivi Mazinyungu bado inahudumia na wanafunzi wasioona? Click to expand... nadhani ila cna uhakika
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Mar 10, 2022 #156,800 mahondaw said: Hahahaha... camera tu mkuu!! Ukimuona utajificha mbona! π€£ππ Click to expand... Camera yako πΈ pamoja na Miwani yangu haiwezekani vikanidanganya Kwa pamoja. Huwezi amini young lady, nimezoom hiyo picha kwa kutumia Miwani yangu ya kuona mbali nimehakikisha pasi na shaka, you are onπ₯π₯π₯π₯
mahondaw said: Hahahaha... camera tu mkuu!! Ukimuona utajificha mbona! π€£ππ Click to expand... Camera yako πΈ pamoja na Miwani yangu haiwezekani vikanidanganya Kwa pamoja. Huwezi amini young lady, nimezoom hiyo picha kwa kutumia Miwani yangu ya kuona mbali nimehakikisha pasi na shaka, you are onπ₯π₯π₯π₯