Hadi kufikia kuzeeka pamoja na Bibi yako, imesaidia sana Mimi kumsifia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Opera mi imenigomea tangu asubuhiAfu kunagoma kufunguka yaan, sjui why, yaan kuna load tyuuh aaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Cheka boss ledii chekaaa Kwa raha Zako ufungue mapafu hewa ipite vizuri 🥰,upate na nguvu za kutupia vocha❤️👌cocastic niache mwenzio uwiiiii!🤣🤣🤣🤣🥱🥱🥱🥱 sina mbavu hukuu khakhaaaaaa!!!! Nacheka mpaka wananishangaa hap
Weuweeeeeeeeh basi sisi wajukuu zako tunasema "babuuu anaupiga mwingi mnooo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi kufikia kuzeeka pamoja na Bibi yako, imesaidia sana Mimi kumsifia.
Kuna wakati unakuta amezidisha chumvi kidogo, unajua hapa huenda amepitiwa ninachofanya ni kumsifia kuwa chakula Cha Leo ni kitamu sana.
Ukitoka hapo mnaenda kukumbushia Ujana [emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Yees hizo ndiyo nyimbo zangu pendwa
Chombo ya fundi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan inaboaaah khaaaah.Opera mi imenigomea tangu asubuhi
Mpaka unamjua it means??!!! Jibu baki naloIpi hiyo? Ila huyo Willow ndo mzuri? Kiufupi umeishiwa avatar, omba msaada kwangu, acha ubishi wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kheeeeh cartoon wangu huyu ni mzureee, na ndo main avatar kwagu, nitaweka zote mwisho ni hii hapa. Weuweeeeeeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nitakuja kuonja, nitatumia mbinu ya compare and contrast.Mrithi wake ni mie, kwani hakuambiagi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Cheka boss ledii chekaaa Kwa raha Zako ufungue mapafu hewa ipite vizuri 🥰,upate na nguvu za kutupia vocha❤️👌
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nisimjue Willow? Nawafuatilia yeye na Jaden kwa ukaribu mno, afu Jaden si kapata ajar week ilopita hadi kazushiwa kufa, [emoji24][emoji24][emoji24] kumbe uongo tyuuh.Mpaka unamjua it means??!!! Jibu baki nalo
Muone masikio [emoji1787][emoji1787]
Hapo sasa weuweeeeeeeeeeeh, babuuuh afu nasubir zawadi ya siku ya jana. UwiiiiiiihNitakuja kuonja, nitatumia mbinu ya compare and contrast.
Babu lazima anenepe [emoji39][emoji39]
Aziweke hapahapa,raha ya vocha kugombania..mahondaw naomba vocha zote za Leo umtumie tu Anne. Hatutapumua Leo humu
😂😂😂😂 una vitukoCheka boss ledii chekaaa Kwa raha Zako ufungue mapafu hewa ipite vizuri 🥰,upate na nguvu za kutupia vocha❤️👌
Hahahaha.......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sijaona yaan, hii app ni kimeo. Uwiiiiih