Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
mahondaw naomba vocha zote za Leo umtumie tu Anne. Hatutapumua Leo humuSisemi uongo ndugu yangu.
Mtu anatupia Hadi vocha za Voda ambazo wanaume wanazikwepa..
Kuna haja gani ya kuwa na shaka kwamba ni mtu na nusu????
u
Nimesema Mimi huyu dada siyo tu kwamba ni boss lady,Bali ni mtu na nusu na kipande pia
Nani mwingine anafikiriaga kuwawezesha watu lunch??
Huyu ni special woman duniani hapa.
Yaani hizi vocha tu unaweka zinatubariki mno,
Mimi hata nisipopata nafurahi sana tu Kwa waliopata Kwa sababu naijua furaha ya kupata hizi vocha.
Mtu anaweza akaona kama ni kitu kidogo lakini kiuhalisia huwa inaketa kavibe Fulani kazuri kubahatika vocha ya humu.
Nipo hapa nyuma yako na huyu mbuzi; nakuja kukuokoaView attachment 2144329
Naona traffic Police wamenisimamisha hapa, wanasema tairi za tela langu zimeisha
Karma , Heaven Sent , financial services , Saint Anne , Bujibuji Simba Nyanaume fanyeni mpango mnunue Pickups za kubebea mazao yenu shambani lakini sio Ng'ombe.
Kwetu kule Ng'ombe ni kwaajili ya kula nyama, maziwa na kuolea tu sio kubebea mizigo
Yaani nafungua tu watsap kuna kaboya😂 kananipokea na hizo taarifa.haya piganeni niwaone, mie nawazoom kwa mbali.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ipi hiyo? Ila huyo Willow ndo mzuri? Kiufupi umeishiwa avatar, omba msaada kwangu, acha ubishi wako.Sipunguzi
Afu ilo cartoon mbona baya
Weeee
Jamani kuna ilo butcha ukichukua nyama yao mpk ilainike ni umeipika mpiko wa kuivisha kande kg 5 kwa jiko la mkaa.
Naishangaaga ile bucha sipati majibu
Headmistress wa Kilakala sec school, vipaji maalumu.🥱🥱🥱
🥱🥱🥱hahaha..
Mrithi wake ni mie, kwani hakuambiagi?Sawa, nitakutumia ila please usimlishe Babu vyakula visivyoiva.
Uliona Mapishi ya Bibi yako kule Juu, she is Good cooker
!Headmistress wa Kilakala sec school, vipaji maalumu.
Killey uwiiiiiih.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Aaaaaah kule kule kwa jana,Wee weka namba hapa tu ushuhudie mwenyewe!!
u
khakhaakhaaaaaa
!
Yaani nafungua tu watsap kuna kaboyakananipokea na hizo taarifa.
Yaani man u bwana ,wamefurahi utadhani walishinda wao Jana kumbe wamechakazwa juzi na kipigo kikali timu ishavurugika hakuna Cha cr7 sijui pogba
View attachment 2144336
cocastic niache mwenzio uwiiiii!🤣🤣🤣🤣🥱🥱🥱🥱 sina mbavu hukuu khakhaaaaaa!!!! Nacheka mpaka wananishangaa hap
fanya hivo uinjoi mema ya bosiledi shos!🥱🥱
cocastic niache mwenzio uwiiiii!🥱🥱🥱🥱 sina mbavu hukuu khakhaaaaaa!!!! Nacheka mpaka wananishangaa hap
Afu kunagoma kufunguka yaan, sjui why, yaan kuna load tyuuh aaaahfanya hivo uinjoi mema ya bosiledi shos!🥱🥱