T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 13,097
- 30,500
Dah!!MUNGU fundi kwa kweliUsiku mwema wana selfika!! [emoji2218][emoji2218][emoji2218][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]View attachment 2143814
Pole[emoji1787]Huu uzi bwana dah!
Yaani ukiondoka dakika moja tu unakuta watu wanasifia lips, shingo, viuno, misambwanda dah!
Ukisema ukae hapa napo wakati mwingine hakuna kitu yaani. Ni shida!
Karibu sana msukuma! sina hiyana kabisa kwenye selfii!✌️✌️✌️Afadhali nimeambulia kakitu. Kutoka kapa aibuu. Thanks Boss lady. You never disappoint [emoji91][emoji91][emoji91][emoji8]
Hata sasa si ajabu yupo tu katulia. Mara paap huyu hapa. Huwa anaongozwa na Roho Mtakatifu naona [emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu huyo akikuwekea nitaweka familia yangu yote bila imoj.
Huyo anawekaga kama kimbunga, na harudiagi. Wanaomtingaga sana anawapelekea pm, hao ni wadada tuu.
Halafu unaweza usimuone akichangia saa nne mpaka saa nane usiku, hata umtagi hajibu, jiroge utupie picha, anakuquote anakwambia asante usiku mwema.
Heaven Sent njoo ubishee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee una nn lakini? Kwann usikae kimyaa tyuuh? Kheeeeh lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna huwa anaapost sana mama malezi. Huna bahati naye.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ninhage bageshi [emoji1545]
Haha...kwa kweli huyu mpendwa wangu/wetu huwa ni mgumu sana ku selfikaMkuu huyo akikuwekea nitaweka familia yangu yote bila imoj.
Huyo anawekaga kama kimbunga, na harudiagi. Wanaomtingaga sana anawapelekea pm, hao ni wadada tuu.
Halafu unaweza usimuone akichangia saa nne mpaka saa nane usiku, hata umtagi hajibu, jiroge utupie picha, anakuquote anakwambia asante usiku mwema.
Heaven Sent njoo ubishee
Nimelipua uzi wee hujaona, na sirudiii naogopa pin lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu sana msukuma! sina hiyana kabisa kwenye selfii![emoji3577][emoji3577][emoji3577]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyooooooh tunakusubir hapaMnaonisema nakujaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anazingua kurudia, ukiichelewa kidogo ndo imetoka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna huwa anaapost sana mama malezi. Huna bahati naye.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Brian Spilner. Njoo uone maajabu. Mama Mchungaji keshaibuka from nowhere [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Mnaonisema nakujaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ninhage bageshi [emoji1545]
Ameelewa mlengwa [emoji16][emoji16][emoji16]Ndo nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hadi j2 ndo ntaselifka hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]Weka tena
Kabisa mkuu..Hata sasa si ajabu yupo tu katulia. Mara paap huyu hapa. Huwa anaongozwa na Roho Mtakatifu naona [emoji16][emoji16][emoji16]
Ewaaaaaa..............Usiku mwema wana selfika!! [emoji2218][emoji2218][emoji2218][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]View attachment 2143814
Ole wake awe amesave, afu akutumie PM wallah ntagombana nae. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameelewa mlengwa [emoji16][emoji16][emoji16]